Paulolaurent
Member
- Nov 21, 2024
- 31
- 49
Tunapaua na kuezeka kwa kutumia nyasi chelewa na makuti kwa kazi nzuri na yenye ubora cheki nasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makuti aidumu sana kinachodumu sana ni nyasi na chelewa kwa upande wa uwizi aiusiani kabisa iyo watu wengi sana wanaezeka kwenye biashara zao bar lodge na hata nyumba za kuishi watu wanawekaTuone picha ya makuti ,je inachukua muda kuanza kuharibika ? Je nikiezeka sehemu ya biashara sio rahisi kuingia kuiba ?
Anhaa kwahiyo kwenye duka naweza kuweka haina shida kabisa ,majambakuzi yakija yatagonga mwamba?Makuti aidumu sana kinachodumu sana ni nyasi na chelewa kwa upande wa uwizi aiusiani kabisa iyo watu wengi sana wanaezeka kwenye biashara zao bar lodge na hata nyumba za kuishi watu wanaweka
Ajiri Mlinzi MkuuAnhaa kwahiyo kwenye duka naweza kuweka haina shida kabisa ,majambakuzi yakija yatagonga mwamba?
😀😀 Mlinzi yupo nimeona ya nyasi imekaa vizuri ,ila hata mlinzi ni binadamu nawaza akipitiwa vibaka si kazi yao itakuwa kutoa nyasi tu na kuzama ndani.Ajiri Mlinzi Mkuu
Wakiona unawasumbua wanawasha sigara tu, baada ya hapo nyumba nzima inateketea Kwa moto 🤗
Upo sahihi ata uku kwetu kwa sasa wanaezeka sana so mbugani tu hadi mijiniGharama ipo juu kuliko bati Ila chelewa ipo vizuri sana nafikiri huu uwezekaji wa kutumia chelewa upo sana kwenye mbuga za wanyama South Africa,
Kwa Mara ya kwanza kuona Tanzania ni serengeti bilila lodge 2003 Hivi,
Wanunuzi wa Kilimanjaro hotel kwa mlango wa kutokea.
Kuezeka Kwa nyasi kunapendeza kwenye hotel za kitalii n.k😀😀 Mlinzi yupo nimeona ya nyasi imekaa vizuri ,ila hata mlinzi ni binadamu nawaza akipitiwa vibaka si kazi yao itakuwa kutoa nyasi tu na kuzama ndani.
Watasema nimefirisika ,alafu nitapaniki maana utakuwa ukweli mchunguKuezeka Kwa nyasi kunapendeza kwenye hotel za kitalii n.k
Ila maduka ya kawaida hazitapendeza sana
🤣🤣 kwenye biashara silazima ulinzi labda biashara za uchochoroni ndo itakua kipengele kidogo😀😀 Mlinzi yupo nimeona ya nyasi imekaa vizuri ,ila hata mlinzi ni binadamu nawaza akipitiwa vibaka si kazi yao itakuwa kutoa nyasi tu na kuzama ndani.
Duka la kawaida labda sehemu ya kupumzikia watu apo nje wanaopata huduma kama soda au biaKuezeka Kwa nyasi kunapendeza kwenye hotel za kitalii n.k
Ila maduka ya kawaida hazitapendeza sana
Hahaha...........hizo nenda kaezeke Kijijini kwenye compound zako ulizojenga nyumba kadhaa za kufikia ukienda mapumziko ya Christmas na Mwaka MpyaWatasema nimefirisika ,alafu nitapaniki maana utakuwa ukweli mchungu
Exactly!Duka la kawaida labda sehemu ya kupumzikia watu apo nje wanaopata huduma kama soda au bia
Nina Vita na wanakijiji ,mwezi Jana nilibahatisha kahela ,nikajenga ka nyumba kazuri mno pale kijijini Sasa sikuwaita wazee kwenye uzinduzi wa hiyo nyumba kwa maana kukoroga pombe na kula chakula na wanakijiji hivyo nilipigwa marufuku na chifu ,kuwa nisitie maguu huko mpaka nikaombe msamha kwa wazee .Hahaha...........hizo nenda kaezeke Kijijini kwenye compound zako ulizojenga nyumba kadhaa za kufikia ukienda mapumziko ya Christmas na Mwaka Mpya
Hahaha..........pole sana MkuuNina Vita na wanakijiji ,mwezi Jana nilibahatisha kahela ,nikajenga ka nyumba kazuri mno pale kijijini Sasa sikuwaita wazee kwenye uzinduzi wa hiyo nyumba kwa maana kukoroga pombe na kula chakula na wanakijiji hivyo nilipigwa marufuku na chifu ,kuwa nisitie maguu huko mpaka nikaombe msamha kwa wazee .
Sasa nikijiroga kuweka hizo nyasi ,watazichoma usiku wazee wa mila
Kwamba wazee wa uko kwenu ni wakorofi kiasi ichoNina Vita na wanakijiji ,mwezi Jana nilibahatisha kahela ,nikajenga ka nyumba kazuri mno pale kijijini Sasa sikuwaita wazee kwenye uzinduzi wa hiyo nyumba kwa maana kukoroga pombe na kula chakula na wanakijiji hivyo nilipigwa marufuku na chifu ,kuwa nisitie maguu huko mpaka nikaombe msamha kwa wazee .
Sasa nikijiroga kuweka hizo nyasi ,watazichoma usiku wazee wa mila
Dah ni kweli Hawa watu wapo na ubaya ni kuwa wakiamua Jambo lao basi litakuwa kikubwa kumalizana nao .Hahaha..........pole sana Mkuu
Kila sehemu Kuna watu wanaitwa Wazee wa Mila
Nafahamu umuhimu wao
Maana Kuna miradi ukiifanya hasa ya Umma, vyema kuwa consult hata Kwa kuwapa hela ya Komoni(Pombe)
Vinginevyo inaweza kutofanikiwa