Tunapaua na kuezeka kwa kutumia nyasi chelewa na makuti kwa kazi nzuri na yenye ubora cheki nasi

Tunapaua na kuezeka kwa kutumia nyasi chelewa na makuti kwa kazi nzuri na yenye ubora cheki nasi

Paulolaurent

Member
Joined
Nov 21, 2024
Posts
31
Reaction score
49
Tunapaua na kuezeka kwa kutumia nyasi chelewa na makuti kwa kazi nzuri na yenye ubora cheki nasi

IMG-20241114-WA0001.jpg
20241111_195717.jpg
 
Tuone picha ya makuti ,je inachukua muda kuanza kuharibika ? Je nikiezeka sehemu ya biashara sio rahisi kuingia kuiba ?
Makuti aidumu sana kinachodumu sana ni nyasi na chelewa kwa upande wa uwizi aiusiani kabisa iyo watu wengi sana wanaezeka kwenye biashara zao bar lodge na hata nyumba za kuishi watu wanaweka
 
Gharama ipo juu kuliko bati Ila chelewa ipo vizuri sana nafikiri huu uwezekaji wa kutumia chelewa upo sana kwenye mbuga za wanyama South Africa,
Kwa Mara ya kwanza kuona Tanzania ni serengeti bilila lodge 2003 Hivi,
Wanunuzi wa Kilimanjaro hotel kwa mlango wa kutokea.
 
Gharama ipo juu kuliko bati Ila chelewa ipo vizuri sana nafikiri huu uwezekaji wa kutumia chelewa upo sana kwenye mbuga za wanyama South Africa,
Kwa Mara ya kwanza kuona Tanzania ni serengeti bilila lodge 2003 Hivi,
Wanunuzi wa Kilimanjaro hotel kwa mlango wa kutokea.
Upo sahihi ata uku kwetu kwa sasa wanaezeka sana so mbugani tu hadi mijini
 
😀😀 Mlinzi yupo nimeona ya nyasi imekaa vizuri ,ila hata mlinzi ni binadamu nawaza akipitiwa vibaka si kazi yao itakuwa kutoa nyasi tu na kuzama ndani.
Kuezeka Kwa nyasi kunapendeza kwenye hotel za kitalii n.k

Ila maduka ya kawaida hazitapendeza sana
 
Hahaha...........hizo nenda kaezeke Kijijini kwenye compound zako ulizojenga nyumba kadhaa za kufikia ukienda mapumziko ya Christmas na Mwaka Mpya
Nina Vita na wanakijiji ,mwezi Jana nilibahatisha kahela ,nikajenga ka nyumba kazuri mno pale kijijini Sasa sikuwaita wazee kwenye uzinduzi wa hiyo nyumba kwa maana kukoroga pombe na kula chakula na wanakijiji hivyo nilipigwa marufuku na chifu ,kuwa nisitie maguu huko mpaka nikaombe msamha kwa wazee .

Sasa nikijiroga kuweka hizo nyasi ,watazichoma usiku wazee wa mila
 
Nina Vita na wanakijiji ,mwezi Jana nilibahatisha kahela ,nikajenga ka nyumba kazuri mno pale kijijini Sasa sikuwaita wazee kwenye uzinduzi wa hiyo nyumba kwa maana kukoroga pombe na kula chakula na wanakijiji hivyo nilipigwa marufuku na chifu ,kuwa nisitie maguu huko mpaka nikaombe msamha kwa wazee .

Sasa nikijiroga kuweka hizo nyasi ,watazichoma usiku wazee wa mila
Hahaha..........pole sana Mkuu

Kila sehemu Kuna watu wanaitwa Wazee wa Mila

Nafahamu umuhimu wao

Maana Kuna miradi ukiifanya hasa ya Umma, vyema kuwa consult hata Kwa kuwapa hela ya Komoni(Pombe)

Vinginevyo inaweza kutofanikiwa
 
Nina Vita na wanakijiji ,mwezi Jana nilibahatisha kahela ,nikajenga ka nyumba kazuri mno pale kijijini Sasa sikuwaita wazee kwenye uzinduzi wa hiyo nyumba kwa maana kukoroga pombe na kula chakula na wanakijiji hivyo nilipigwa marufuku na chifu ,kuwa nisitie maguu huko mpaka nikaombe msamha kwa wazee .

Sasa nikijiroga kuweka hizo nyasi ,watazichoma usiku wazee wa mila
Kwamba wazee wa uko kwenu ni wakorofi kiasi icho
 
Hahaha..........pole sana Mkuu

Kila sehemu Kuna watu wanaitwa Wazee wa Mila

Nafahamu umuhimu wao

Maana Kuna miradi ukiifanya hasa ya Umma, vyema kuwa consult hata Kwa kuwapa hela ya Komoni(Pombe)

Vinginevyo inaweza kutofanikiwa
Dah ni kweli Hawa watu wapo na ubaya ni kuwa wakiamua Jambo lao basi litakuwa kikubwa kumalizana nao .
Mwaka Fulani bwana mdogo mmoja yupo Azam Kama mtangazaji wa mpira wa miguu ,alikwenda kumuona baba yake ,kikawa kipindi Cha malipo ya hela ya kahawa hivyo baba yake mtangazaji alilipwa hela nzuri ya kahawa .

Akapata wazo anunue basi used lifanye root za kwenda makao makuu ya wilaya asubuhi na kurudi jioni , familia ikapitisha wazo na likawa ,Sasa kabla ya safari baba anamwambia mwanaye ,bus haliwezi kuanza safari bila kukoroga pombe na kuwaita wazee na wanakijiji watie baraka ,mtangazaji akakanusha ,Basi mzee akafanya Kama alivyowaza .

Wakati wa sherehe hiyo ,mtangazaji akawa anawaambia wazee kuwa hayo Mambo yamepitwa na wakati wajitafakari ,wazee lile Jambo likawauma ila wakamezea .

Sasa baada ya mtangazaji kurudi Dar es salaam ,wazee wakamfuata baba mtu wakamwambia mwanao akae huko huko ,siku akitia miguu yake hapa kijijini usilaumu mtu .

Mzee akaona nongwa hii ,kampigia kijana wake kumkanya na kumwambia yaliyosemwa ,kijana huu Ni mwaka wa kumi na nne ,hajaonekana kwao ,ameomba msamaha Mara kuomba wazee wanadai hawajaenda msitu wa matambiko kusikia Kama mizimu imekubali arudi au lah .

Kijana siku nikamwambia wewe force rudi tuone nini akadai kila akiwaza safari lazima ndotoni aote ajari na anakufa hapo hapo .

Kaka wazee wa mila Wana Mambo ,ila Mimi lazima nimalizane nao ,wasije kuninyima baraka nikiutaka udiwani
 
Back
Top Bottom