Habari za usiku JF.
Mimi nimekuwa kwenye mahusiano na binti miaka mitatu sasa. Tumeamua kwa dhati tuoane, wazazi wake hawataki. Wamefikia kunitishia maisha. Ukweli ni kuwa nampenda sana, nae ananipenda Sana.
Tumeamua kuishi kwa pamoja bila kujali. Maana kisheria tuko salama maana siyo mwanafunzi. Amemaliza kidato cha sita. niko tayari akasome chuo lakini Kama mke wangu,nina shuguli yenye kuingiza kipato cha million 40 kwa mwaka.
Mimi nimekuwa kwenye mahusiano na binti miaka mitatu sasa. Tumeamua kwa dhati tuoane, wazazi wake hawataki. Wamefikia kunitishia maisha. Ukweli ni kuwa nampenda sana, nae ananipenda Sana.
Tumeamua kuishi kwa pamoja bila kujali. Maana kisheria tuko salama maana siyo mwanafunzi. Amemaliza kidato cha sita. niko tayari akasome chuo lakini Kama mke wangu,nina shuguli yenye kuingiza kipato cha million 40 kwa mwaka.