Mashindano ya Afcon yanaelekea ukingoni ambapo fainali zitapigwa Jumapili tarehe 11/2.
Hakika mashindano ya mwaka huu 2023/2024 yamekuwa ya kusisimua sana.
Jambo ambalo nataka kuziuliza timu zetu nchini je? Wachezaji wetu mmojifunza angalau mbinu na maarifa ya uchezaji?!! Au ndio bado tumeng'ang'ana na kasumba zetu za mpira wa mchangani?!!
Naamini michuano ya Afcon itakuwa imebadilisha maarifa ya uchezaji wetu.
Tunategemea kushuhudia Ligi zetu za ndani zikiwa bora zaidi.
Hakika mashindano ya mwaka huu 2023/2024 yamekuwa ya kusisimua sana.
Jambo ambalo nataka kuziuliza timu zetu nchini je? Wachezaji wetu mmojifunza angalau mbinu na maarifa ya uchezaji?!! Au ndio bado tumeng'ang'ana na kasumba zetu za mpira wa mchangani?!!
Naamini michuano ya Afcon itakuwa imebadilisha maarifa ya uchezaji wetu.
Tunategemea kushuhudia Ligi zetu za ndani zikiwa bora zaidi.