Tunapoelekea msimu wa sikukuu, tuma hela ya Kusuka, hela ya nguo, hela ya viatu lakini usimsahau Mama yako na Baba yako.

Tunapoelekea msimu wa sikukuu, tuma hela ya Kusuka, hela ya nguo, hela ya viatu lakini usimsahau Mama yako na Baba yako.

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Ewe kijana jitathimini sasa.

Mpaka sasa umeshamtumia pesa ya kusuka, pesa ya viatu na mmeshapanga sehemunya kukutana kula bata.

Mpak muda huu Atm ishaumia mara kadhaa kqa ajili ya kumnunulia pamba za sikukuu.

Je umejiuliza mpaka muda huu umemtumia Baba yako na Mama yako kiasi gani?

Panga vipaumbele vyako lakini usisahau aliyekulea na kukufikisha hapo ulipo.

Usiteme Bigijii kwa Karanga za kuonjeshwa.

Nawatakia sikuu kuu njema wadau.
 
Ewe kijana jitathimini sasa.

Mpaka sasa umeshamtumia pesa ya kusuka, pesa ya viatu na mmeshapanga sehemunya kukutana kula bata.

Mpak muda huu Atm ishaumia mara kadhaa kqa ajili ya kumnunulia pamba za sikukuu.

Je umejiuliza mpaka muda huu umemtumia Baba yako na Mama yako kiasi gani?

Panga vipaumbele vyako lakini usisahau aliyekulea na kukufikisha hapo ulipo.

Usiteme Bigijii kwa Karanga za kuonjeshwa.

Nawatakia sikuu kuu njema wadau.
Kuna watu watasema nisiwapangie maisha😅😅
 
Back
Top Bottom