jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Walizoeleka kukiteka chama kipindi cha nyuma kidogo.
Yaani walijidai kuisifia CCM ili wapate uongozi huku wakijivika umaarufu ..eti CCM ikiwatosa watahamia Chadema.
This time around hakuna chama cha kuwabeba wakikosa CCM watakosa na Chadema pia...chadema ni legevu mnooo.
Wana CCM kindakindaki ni muda wa kusimama imara na kusimama na wananchi.
Wananchi wameona maendeleo wananchi wamewatambua vigeu geu na chawa...wananchi wanao uelewa kamilifu wa nani mkweli na nani muongo.
Hakuna hofu tena kwamba CCM itaibuka mshindi kwa asilimia zaidi ya 95 katika nyanja zote na hivyo basi hii ni fursa ya kuwanyoosha criminals wote.
#siorangi ya paka
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Yaani walijidai kuisifia CCM ili wapate uongozi huku wakijivika umaarufu ..eti CCM ikiwatosa watahamia Chadema.
This time around hakuna chama cha kuwabeba wakikosa CCM watakosa na Chadema pia...chadema ni legevu mnooo.
Wana CCM kindakindaki ni muda wa kusimama imara na kusimama na wananchi.
Wananchi wameona maendeleo wananchi wamewatambua vigeu geu na chawa...wananchi wanao uelewa kamilifu wa nani mkweli na nani muongo.
Hakuna hofu tena kwamba CCM itaibuka mshindi kwa asilimia zaidi ya 95 katika nyanja zote na hivyo basi hii ni fursa ya kuwanyoosha criminals wote.
#siorangi ya paka
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!