Tunapoelekea wanawake wasahau uwepo wa ndoa,wanaume wa sasa wamejanjaruka

Tunapoelekea wanawake wasahau uwepo wa ndoa,wanaume wa sasa wamejanjaruka

Wagumu Tunadumu

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2022
Posts
5,276
Reaction score
17,354
"Sitapenda tena. Mara ya mwisho nilipopenda, ilikaribia kugharimu kazi yangu na nadhani ndoa inaweza kufanya vibaya." Chris Brown

"Ninaelewa ndoa ni nini lakini sitaki kuoa kwa sababu ni ukatili sana kwa wanaume endapo mtaachana. Ninaelewa ndoa lakini sidhani kama inafaa kwa wanaume. Sio kama siwezi kudumu na mpenzi mmoja kwa maisha yangu yote lakini kuwa kwenye mahusiano kuna mengi sana. Wote mshawahi kuniona nikiwa kwenye mahusiano lakini karibu inicõst mimi kazi yangu. Hivyo imenifanya nitambue kuwa mapenzi si ishu kwangu. Watu pekee naowapenda kwa sasa ni watoto wangu. Ninafocuse kwa watoto wangu hivi sasa na siwezi kuruhusu mwanamke yeyote anidanganye." Chris Brown
download.jpeg
 
Daah sawa, dunia imempa haki mwanamke kupitiliza sidhani kama walifikiri vizuri kuhusu hizi sheria zinazoitwa kumlinda mwanamke (mtoto wa kike) mana sasa hata mtoto wa kiume hana haki tena.
 
kataa ndoa mtajua wenyewe

Mimi nimempata ambaye haswa ilikusudiwa awe

Ni mke lakini tuna undugu hakafu pc kali

Kwa ushauri vijana oeni pisi kali ila ikiwezekana mnaotoka kijiji kimoja huo ndo ushauri wangu na umzidi miaka mitano kwenda mbele..kikubwa nasisitika awe mzuri ila umzidi elimu na kipato...ovaaaa
 
"Sitapenda tena. Mara ya mwisho nilipopenda, ilikaribia kugharimu kazi yangu na nadhani ndoa inaweza kufanya vibaya." Chris Brown

"Ninaelewa ndoa ni nini lakini sitaki kuoa kwa sababu ni ukatili sana kwa wanaume endapo mtaachana. Ninaelewa ndoa lakini sidhani kama inafaa kwa wanaume. Sio kama siwezi kudumu na mpenzi mmoja kwa maisha yangu yote lakini kuwa kwenye mahusiano kuna mengi sana. Wote mshawahi kuniona nikiwa kwenye mahusiano lakini karibu inicõst mimi kazi yangu. Hivyo imenifanya nitambue kuwa mapenzi si ishu kwangu. Watu pekee naowapenda kwa sasa ni watoto wangu. Ninafocuse kwa watoto wangu hivi sasa na siwezi kuruhusu mwanamke yeyote anidanganye." Chris BrownView attachment 3116219
Loosers
 
"Sitapenda tena. Mara ya mwisho nilipopenda, ilikaribia kugharimu kazi yangu na nadhani ndoa inaweza kufanya vibaya." Chris Brown

"Ninaelewa ndoa ni nini lakini sitaki kuoa kwa sababu ni ukatili sana kwa wanaume endapo mtaachana. Ninaelewa ndoa lakini sidhani kama inafaa kwa wanaume. Sio kama siwezi kudumu na mpenzi mmoja kwa maisha yangu yote lakini kuwa kwenye mahusiano kuna mengi sana. Wote mshawahi kuniona nikiwa kwenye mahusiano lakini karibu inicõst mimi kazi yangu. Hivyo imenifanya nitambue kuwa mapenzi si ishu kwangu. Watu pekee naowapenda kwa sasa ni watoto wangu. Ninafocuse kwa watoto wangu hivi sasa na siwezi kuruhusu mwanamke yeyote anidanganye." Chris BrownView attachment 3116219
mshikaji wangu chris brown,umechelew sana kuwajua hawa wa2,,,,,fungua biblia msome ADAM alichofanyiwa na HAWA,then msome SAMSON alchofanyiwa na DELILA,,,,then kwa vile uko marekani muulize mzee BILL GATE ilikuwaje akaachana na mkewe....then,jiulize kwa nini mzee YESU alikuwa hana mpango na madem,,,mwisho jiulize ilikuwaje mzee mandela akiwa kifungoni mkewe akawa anatoka na daktari wake,,Da!! ila mandela hakuwaga fala,alipotoka ndani tu,,,,akamwoa mke wa samora masheli,,,,,da!!! then ikiwezezekana nitafute mimi nikueleze kwa nini mpaka leo mimi ni bachela!!..........."sisis ni mabachela,mabachela,hatutaki ndoa mabachela,,waache waoaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaane"
 
"Sitapenda tena. Mara ya mwisho nilipopenda, ilikaribia kugharimu kazi yangu na nadhani ndoa inaweza kufanya vibaya." Chris Brown

"Ninaelewa ndoa ni nini lakini sitaki kuoa kwa sababu ni ukatili sana kwa wanaume endapo mtaachana. Ninaelewa ndoa lakini sidhani kama inafaa kwa wanaume. Sio kama siwezi kudumu na mpenzi mmoja kwa maisha yangu yote lakini kuwa kwenye mahusiano kuna mengi sana. Wote mshawahi kuniona nikiwa kwenye mahusiano lakini karibu inicõst mimi kazi yangu. Hivyo imenifanya nitambue kuwa mapenzi si ishu kwangu. Watu pekee naowapenda kwa sasa ni watoto wangu. Ninafocuse kwa watoto wangu hivi sasa na siwezi kuruhusu mwanamke yeyote anidanganye." Chris BrownView attachment 3116219
Kuna malaya mmoja eti hataki kutoa mzigo anataka ndoa,fala kweli yule.
 
Back
Top Bottom