Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Haki imezidi kwa wanawake na sasa inatumika vibaya kama fimbo. Tunako elekea ndoa hazitakuwa na uwazi tena watu Wataishi kiujanja ujanja tu kuogopa kufilisiwa pindi ndoa inapovunjika.
Umewowaaa hujawowaa weee Kulaaa mbususuu tu lo kulaaa kadri uwezavo!
Huu ni ujumbe kutoka kwa mtoto wa kike.Umewowaaa hujawowaa weee Kulaaa mbususuu tu lo kulaaa kadri uwezavo!
Yaniiii suguaaa kisawaaasawaaa
Huu ni ujumbe kutoka kwa mtoto wa kike.Umewowaaa hujawowaa weee Kulaaa mbususuu tu lo kulaaa kadri uwezavo!
Yaniiii suguaaa kisawaaasawaaa
Loosers"Sitapenda tena. Mara ya mwisho nilipopenda, ilikaribia kugharimu kazi yangu na nadhani ndoa inaweza kufanya vibaya." Chris Brown
"Ninaelewa ndoa ni nini lakini sitaki kuoa kwa sababu ni ukatili sana kwa wanaume endapo mtaachana. Ninaelewa ndoa lakini sidhani kama inafaa kwa wanaume. Sio kama siwezi kudumu na mpenzi mmoja kwa maisha yangu yote lakini kuwa kwenye mahusiano kuna mengi sana. Wote mshawahi kuniona nikiwa kwenye mahusiano lakini karibu inicõst mimi kazi yangu. Hivyo imenifanya nitambue kuwa mapenzi si ishu kwangu. Watu pekee naowapenda kwa sasa ni watoto wangu. Ninafocuse kwa watoto wangu hivi sasa na siwezi kuruhusu mwanamke yeyote anidanganye." Chris BrownView attachment 3116219
Zamani nilikuwa naamini Ulaya wanawake wanajielewa kumbe ndio kuna majanga zaidi.Uko ulaya pamechangamka hasa swala la wanawake.
mshikaji wangu chris brown,umechelew sana kuwajua hawa wa2,,,,,fungua biblia msome ADAM alichofanyiwa na HAWA,then msome SAMSON alchofanyiwa na DELILA,,,,then kwa vile uko marekani muulize mzee BILL GATE ilikuwaje akaachana na mkewe....then,jiulize kwa nini mzee YESU alikuwa hana mpango na madem,,,mwisho jiulize ilikuwaje mzee mandela akiwa kifungoni mkewe akawa anatoka na daktari wake,,Da!! ila mandela hakuwaga fala,alipotoka ndani tu,,,,akamwoa mke wa samora masheli,,,,,da!!! then ikiwezezekana nitafute mimi nikueleze kwa nini mpaka leo mimi ni bachela!!..........."sisis ni mabachela,mabachela,hatutaki ndoa mabachela,,waache waoaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaane""Sitapenda tena. Mara ya mwisho nilipopenda, ilikaribia kugharimu kazi yangu na nadhani ndoa inaweza kufanya vibaya." Chris Brown
"Ninaelewa ndoa ni nini lakini sitaki kuoa kwa sababu ni ukatili sana kwa wanaume endapo mtaachana. Ninaelewa ndoa lakini sidhani kama inafaa kwa wanaume. Sio kama siwezi kudumu na mpenzi mmoja kwa maisha yangu yote lakini kuwa kwenye mahusiano kuna mengi sana. Wote mshawahi kuniona nikiwa kwenye mahusiano lakini karibu inicõst mimi kazi yangu. Hivyo imenifanya nitambue kuwa mapenzi si ishu kwangu. Watu pekee naowapenda kwa sasa ni watoto wangu. Ninafocuse kwa watoto wangu hivi sasa na siwezi kuruhusu mwanamke yeyote anidanganye." Chris BrownView attachment 3116219
Kuna malaya mmoja eti hataki kutoa mzigo anataka ndoa,fala kweli yule."Sitapenda tena. Mara ya mwisho nilipopenda, ilikaribia kugharimu kazi yangu na nadhani ndoa inaweza kufanya vibaya." Chris Brown
"Ninaelewa ndoa ni nini lakini sitaki kuoa kwa sababu ni ukatili sana kwa wanaume endapo mtaachana. Ninaelewa ndoa lakini sidhani kama inafaa kwa wanaume. Sio kama siwezi kudumu na mpenzi mmoja kwa maisha yangu yote lakini kuwa kwenye mahusiano kuna mengi sana. Wote mshawahi kuniona nikiwa kwenye mahusiano lakini karibu inicõst mimi kazi yangu. Hivyo imenifanya nitambue kuwa mapenzi si ishu kwangu. Watu pekee naowapenda kwa sasa ni watoto wangu. Ninafocuse kwa watoto wangu hivi sasa na siwezi kuruhusu mwanamke yeyote anidanganye." Chris BrownView attachment 3116219
Wa hvyo huwa tunawaacha kimya kimyaKuna malaya mmoja eti hataki kutoa mzigo anataka ndoa,fala kweli yule.