Tunapoenda Kulala sasa Watanzania tukumbuke Kuzima Simu zetu kwani mwenye ' Shifti ' yake ya ' Kutudukua ' Usiku muda wake umefika!

Tunapoenda Kulala sasa Watanzania tukumbuke Kuzima Simu zetu kwani mwenye ' Shifti ' yake ya ' Kutudukua ' Usiku muda wake umefika!

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Haya haya Watanzania ' hala hala ' tunapoenda Kujipumzisha sasa ( Usiku huu ) hebu tukumbuke Kuzima Simu zetu au Kufuta kabisa Meseji zetu zote tulizochati leo kwani ule muda wa Mwenzetu mmoja hivi Kutokulala kwa kutopataka Kwake Usingizi na ' Kutudukua ' ndiyo umewadia hivyo.

Msiseme kuwa sijawakumbusha halafu Kesho mkiumbuliwa JNIA mnavyochati hovyo mlalamike!

Nawasilisha.
 
Tuna kiongozi wa ajabu ijawai tokea yani mtu anaingilia faragha za watu wakati ni kinyume cha sheria yeye anajisifu kuvunja katiba halafu kuna wa phd wanamsifu.

Umeshazima Simu Mkuu? Jamaa ' anadukua ' hadi meseji za mwaka juzi halafu ' anazimwaga ' zote hadharani tena akiwa mkavu kabisa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu hili suala mbona umelikomalia sana aisee

Sent using Jamii Forums mobile app

Lipi hilo tena? Kwanza Simu yako umeshazima au kufuta Meseji zako? Anamalizia sasa Kusaini ' Mafaili ' yake yaliyopo Kitandani mwake kisha aanze Kazi yake ya ' Kutukuka ' ya ' Kutudukua ' Simu zetu na Kesho akiwa pale JNIA anapokea ' Kitu ' cha Sita ( 6 ) atatiririka na kuserereka nasi kwa ' Kutuumbua ' hadharani.
 
Nasikia kuna dawa ukipaka usoni watu wote utawaona hawana nguo, na hii dawa nasikia inapatikana usukumani, jamaa anavyopenda chabo huenda anaitumia kudukua miili yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwahiyo hata ' Watendaji ' wa Kiume wenye ' tubamia ' ameshawajua na labda anawatafutia tu ' timing ' awape ' Makavu ' yao au?
 
Back
Top Bottom