Tunapoenda Kulala sasa Watanzania tukumbuke Kuzima Simu zetu kwani mwenye ' Shifti ' yake ya ' Kutudukua ' Usiku muda wake umefika!

Ishu kama hii ingetokea huko kwenye nchi za wanaojielewa na kuelewa haki zao ingekuwa bonge moja la skandali,lakini huku kwetu ni tukio la kujadiliwa kidogo kisha linawekwa pembeni kujadili matukio mapya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sifuti...
Huwa nazisomaga zote muda ambao mepumzika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…