Tunapoendelea uko mbele urais wa Tanzania utakosa thamani?

Tunapoendelea uko mbele urais wa Tanzania utakosa thamani?

kanulege

Member
Joined
May 3, 2013
Posts
96
Reaction score
123
Niaonayo yanayoendelea hapa Tanzania uko mbele urais wa Tanzania utakuwa kitu cha kawaida na utakosa thamani .
Kwa sasa urais wa Tanzania ndio unatafuta umaarufu badala ya umaarufu kuufuata urais .
Ndio maana uelekeo wa siasa za Tanzania ni kutafuta umaarufu kwa gharama yoyote hata kwa kutumia wasanii na watu maarufu kwa lugha ya sasa wanaitwa machawa.
Ndio maana kwa uelekeo wa sasa kila mtu anaona anaweza kuwa Rais wa Tanzania kwa sababu imeonekana ni kitu cha kawaida na taasisi ya urais imepoteza ile nguvu yake ya asili imetekwa na nguvu ya machawa.
 
Kwani Kwa Sasa rais anathamani? Uthamani wa rais inakuja pale rais anapotimiza majukumu yake Kwa weledi.Sasa wewe rais uuze maliasili za umma Kwa wajomba wako wa Dubai nani atakuthamini?Au ufukuze wa Masai uwapeleke kusikojulikana nani atakuona wa thamani?
 
Niaonayo yanayoendelea hapa Tanzania uko mbele urais wa Tanzania utakuwa kitu cha kawaida na utakosa thamani .
Kwa sasa urais wa Tanzania ndio unatafuta umaarufu badala ya umaarufu kuufuata urais .
Ndio maana uelekeo wa siasa za Tanzania ni kutafuta umaarufu kwa gharama yoyote hata kwa kutumia wasanii na watu maarufu kwa lugha ya sasa wanaitwa machawa.
Ndio maana kwa uelekeo wa sasa kila mtu anaona anaweza kuwa Rais wa Tanzania kwa sababu imeonekana ni kitu cha kawaida na taasisi ya urais imepoteza ile nguvu yake ya asili imetekwa na nguvu ya machawa.
Urais tanzania
 
Kwani Kwa Sasa rais anathamani? Uthamani wa rais inakuja pale rais anapotimiza majukumu yake Kwa weledi.Sasa wewe rais uuze maliasili za umma Kwa wajomba wako wa Dubai nani atakuthamini?Au ufukuze wa Masai uwapeleke kusikojulikana nani atakuona wa thamani?
🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom