Kuna siku nilkuwa nafuta kwa mkono kama vile nafungua mfuniko wa chupa uliokuwa umekazwa, kumbe mdomo wa chupa ulikuwa umepasuka wakati inafunguliwa dah! Ilkuwa kama nimepitisha wembe mkononi
Kuna siku nilkuwa nafuta kwa mkono kama vile nafungua mfuniko wa chupa uliokuwa umekazwa, kumbe mdomo wa chupa ulikuwa umepasuka wakati inafunguliwa dah! Ilkuwa kama nimepitisha wembe mkononi