Ukigundua ana mabaki Fanya kama unasukutua mbele yake atajua. Bila kumuambiaKuna Mdada yupo classic sana na anapenda kujichekesha muda wote, leo Amepita kutusalimia lakini meno yake ya mbele yakawa na maganda ya harage na lingine mchicha mkubwa tu. Mwanzo sikujua nikafikiri ni tabia za warembo wetu kuweka madoido japo nilijiuliza kwanini hakuchagua rangi nzuri. Kumbe ni baki la harage na mchicha.
Huwa ana kamsemo kake kuwa " I like seafood "
Broski mbn umeacha kutumia lugha ya malkiaacha nidhamu ya uoga
🤣🤣🤣Ukigundua ana mabaki Fanya kama unasukutua mbele yake atajua. Bila kumuambia
nilienda ubalozi nkanyimwa visa mkuu so week hii yote nko very dissapointed ndo maana naongea kiswahili kupngza uchunguBroski mbn umeacha kutumia lugha ya malkia
😂😂 nlikua najiuliza huyu member kapatwa na nini kumbe karudi kwenye lugha ya uswaziBroski mbn umeacha kutumia lugha ya malkia
Hii IMEENDA I like sea foodKuna Mdada yupo classic sana na anapenda kujichekesha muda wote, leo Amepita kutusalimia lakini meno yake ya mbele yakawa na maganda ya harage na lingine mchicha mkubwa tu. Mwanzo sikujua nikafikiri ni tabia za warembo wetu kuweka madoido japo nilijiuliza kwanini hakuchagua rangi nzuri. Kumbe ni baki la harage na mchicha.
Huwa ana kamsemo kake kuwa " I like seafood "
I was about to ask the same before seeing your comment sweetheart. Naona kuna katrend watu kuanzisha thread tu ilimradi JF wametoaa hiyo ACCESS🤣🤣Kumbe maharage na mchicha ni sea food 😅
Mboga yangu pendwa hii haragwe kw nazikunawatu Bado wanakula maharage na sio wanafunzi?