nyama nyama nasamaki havipandi sana mkuu?Mboga yangu pendwa hii haragwe kw nazi
Ebwnaa tumbo langu halinaga machaguo kwenye misosi chakula kilichonishinda ni hivi mnaita pizza na baga cjawahi kuvielewanyama nyama nasamaki havipandi sana mkuu?
hivyo nivya mabinti mkuu. Mimi napendelea magimbi maziwa nyamachoma na Pepsi samaki dona Kwa mtindi pilau wali samaki na tambi.makande sili maamae mtori sili nitachambua nyamatuuEbwnaa tumbo langu halinaga machaguo kwenye misosi chakula kilichonishinda ni hivi mnaita pizza na baga cjawahi kuvielewa
Itakua alikua kwa rasi simbaππ nlikua najiuliza huyu member kapatwa na nini kumbe karudi kwenye lugha ya uswazi
Kilichokukwamisha ni lugha tu?nilienda ubalozi nkanyimwa visa mkuu so week hii yote nko very dissapointed ndo maana naongea kiswahili kupngza uchungu
Kamaliza kozi sioItakua alikua kwa rasi simba
ππMaisha ni fumboKamaliza kozi sio
lugha sio kilichokwamisha ila kuna figisu figisu flaN hv nahs nmefanyiwa tuKilichokukwamisha ni lugha tu?