Tunapokula Maharage au Mchicha tukumbuke kusukutua. Aibu hii!!

Ebwnaa tumbo langu halinaga machaguo kwenye misosi chakula kilichonishinda ni hivi mnaita pizza na baga cjawahi kuvielewa
hivyo nivya mabinti mkuu. Mimi napendelea magimbi maziwa nyamachoma na Pepsi samaki dona Kwa mtindi pilau wali samaki na tambi.makande sili maamae mtori sili nitachambua nyamatuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…