Tunaposema Mbowe siyo gaidi, tunamaanisha hivi

Nikuhakikishie, hakuna mwananchi anayeamini kuwa Mbowe ni gaidi, awe mwananchi wa kawaida, awe polisi, awe kiongozi wa serikali, awe mwanaCCM kindakinda au mwanaCCM maslahi.

Nimeongea na baadhi ya makamanda wa polisi na baadhi ya wakuu wa TISS, wote wanasema ni hadithi ya kutengeneza.

Hata wale wanaoshangilia mashtaka ya Mbowe, siyo kwa sababu wanaamini ni gaidi bali wanafurahia Mbowe kuteseka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…