Tunaposema tunaonewa na kuwaangalia wengine kwa jicho baya la chuki, tunaiangaliaje historia yetu?

Tunaposema tunaonewa na kuwaangalia wengine kwa jicho baya la chuki, tunaiangaliaje historia yetu?

nngu007

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2010
Posts
15,860
Reaction score
5,801
Tunaposema tunaonewa na kuwaangalia wengine kwa jicho baya la chuki, je, tunaiangaliaje historia yetu kwa jicho lenye ukweli?

Waarabu walikuja kwenye nchi yetu miaka takriban 1000 iliyopita, Wazungu walikuja miaka 300 tu hivi iliyopita. Wote hawa walikuja kwa lengo moja la kutafuta mali (kutunyonya) na kuleta tamaduni na dini zao. Je, yepi ya ziada na ya maana kwetu walifanya?
 

Nimeifurahia HOJA hii toka kwa JUMANNE HAMISI... Anataka tujiulize Kabla ya MWARABU na MZUNGU tuliwaje...

Haya Matatizo tuliyo nayo tunaweza kweli kuyasuluhisha kama tukijielimisha HIZI DINI ZETU za KIKRISTO na KIISLAMU Ziliwasili BARANI KWETU; KIVIPI ? Kwa BIASHARA, KUENZA DINI, UTUMWA au sababu ZOTE?
 
Shida inakuja pale mtu anapoing'ang'ania dini au utamaduni wa kigeni bila kufikiri athari za kijamii, otherwise,
tungeyachukulia haya kama upepo tu basi tusingebomoa umoja na historia zetu !!
 
yani inasikitisha sana kuona mwafrika anasumbuka sana na dini ya mzungu ama mwarabu.. wamekuja kutuga ili watutawale vizuri.... watanzaania tuwe wamoja acheni udini..
 
uislam sio dini ya waarabu rafiki angu, mtume muhammad ndiyo alikuwa mwarabu na mungu alikuwa akimshushia ujumbe kupitia malaika jibril hivyo ni kweli kwamba awali waarabu wengi ndiyo waliokuwa wakifanya jitihada za kuusambaza ulimwenguni kote, (qur-an 3;19 au efeso 4;4-6)
 
uislam sio dini ya waarabu rafiki angu, mtume muhammad ndiyo alikuwa mwarabu na mungu alikuwa akimshushia ujumbe kupitia malaika jibril hivyo ni kweli kwamba awali waarabu wengi ndiyo waliokuwa wakifanya jitihada za kuusambaza ulimwenguni kote, (qur-an 3;19 au efeso 4;4-6)

Sasa kwanini ziwe tofauti kati ya Wakristo na Waislam? Bila Waarabu Uislamu usingeingia Tanganyika the same as Whites tusingekuwa na Ukristo Sababu pia YESU alikuwa Mwana wa MUNGU kama Mohammad
 
Back
Top Bottom