uislam sio dini ya waarabu rafiki angu, mtume muhammad ndiyo alikuwa mwarabu na mungu alikuwa akimshushia ujumbe kupitia malaika jibril hivyo ni kweli kwamba awali waarabu wengi ndiyo waliokuwa wakifanya jitihada za kuusambaza ulimwenguni kote, (qur-an 3;19 au efeso 4;4-6)