Uchaguzi 2020 Tunapowambia CCM wanalazimisha watu waende kwenye mikutano ya kampeni muwe mnaelewa

Uchaguzi 2020 Tunapowambia CCM wanalazimisha watu waende kwenye mikutano ya kampeni muwe mnaelewa

Trust None

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2018
Posts
1,260
Reaction score
4,419
CCM bila kulazimisha watu na kuwasomba, kampeni zao zitakuwa na watu kiduchu.

Mwacheni mama yetu wa Taifa alee wajukuu


IMG-20200905-WA0003.jpg
 
Haa 😁😂😅😄😃
Mambo Yanashughulikiwa Taratibu, Mama Aongeze Sauti Hatujamsikia
 
Bibi kachomoa betri , yaani CCM na Magufuri mmeishiwa kweli Mzee wa watu mnamlazimisha akuletee watu ndio alikutuma usiajiri ,usiongeze mishahara ,usilipe wastaafu ,ule rambirambi za tetemeko la kagera , mwacheni Bibi wa watu apumzike kila mtu abebe msalaba wake
Screenshot_20200905-211131.png
Screenshot_20200905-211028.png
 
kama mama maria nyerere anasema kalazimishwa tuna maswali mengi sana ya kuuliza kumbe ccm inalazimisha watu waunge mkono juhudi.mama kaona maovu ya ccm dhidi ya wanachi wanyonge hiyo ni sauti ya nyerere mwenyewe
 
Back
Top Bottom