Mtoto wa Nyerere
Senior Member
- May 21, 2021
- 129
- 689
Dar es Salaam ni Jiji lenye harakati nyingi sana ila foleni mjini imekuwa kero ukiunganisha na joto lilipo hapa.
Je, tunafanya nini ili kupunguza foleni katika jiji hili maana kupanua barabara pekee sioni kama ni suluhisho la moja kwa moja
Na tuna mkakati gani wa kuanza kuzuia majiji mengine ambayo yanakua kwa kasi yasiwe kama jiji la Dar es Salaam?
Jiji kama Mwanza, Mbeya na Arusha tayari foleni zimeshaanza?
Wadau wa sector hii njooni hapa tupange nini kifanyike.
Je, tunafanya nini ili kupunguza foleni katika jiji hili maana kupanua barabara pekee sioni kama ni suluhisho la moja kwa moja
Na tuna mkakati gani wa kuanza kuzuia majiji mengine ambayo yanakua kwa kasi yasiwe kama jiji la Dar es Salaam?
Jiji kama Mwanza, Mbeya na Arusha tayari foleni zimeshaanza?
Wadau wa sector hii njooni hapa tupange nini kifanyike.