Manase fast courier
JF-Expert Member
- Mar 23, 2021
- 571
- 336
safirisha nasisi mzigo kutoka dar kuja south Africa au south africa kuja Dar...ni haraka zaidi na uhakika...tupo kariakoo mafia na pemba nyuma ya david sports wear...tupigie 0744302922
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba kujua je gari inafika hadi Cape Town au inaishia mji gani na usalama wa kusafiri vitu upoje maana kuna kampun ukisafirisha vitu wanapita wanafunguafungua mizigo njian, naomba kujua inachukua muda gani gari kufika point ya mwisho, na gharama zenu munachaji kwa kila au kwa mzigo
Kutoka south na kuleta bongo vip hamsafirish
Vitu kama gari hivi
Mko na gari inayoenda mpaka Capetown? Au mnaishia jozi kama kampuni zinginekufungua boss ni ukaguzi siunajua border za watu...week moja gari inakua imefika..gharama ni kwa kilo boss kutokana na rand...rand 45 kwa kilo
Nipo Capetown Boss unahitaji kiasi ganiMi nataka vipombe vya kisauzi vile vi Cider. Unaweza kuniletea?
Vipi boss hamna mchongo wa kazi hapo hata wa kusindikiza mizigo kwenda south africa.
Nipo tayari kufanya kazi for free nipate uzoefu.
Nipo Capetown Boss unahitaji kiasi gani
Gari zenu zinakuja mpaka Capetown?asante mkuu kwa msaada asee
Pamoja boss,ikitokea mnahitaji mtu wa kumtuma tuma hapo kwenye warehouses zenu nipo tayari kufanya kazi bure kabisa.Au ikitokea mnahitaji mtu wa kuescort mzigo hadi south africa nipo tayari kufanya kazi bure kabisa.Mda,passport na lugha vyote ninavyo.gari inaenda na watu watatu tu
Pamoja boss,ikitokea mnahitaji mtu wa kumtuma tuma hapo kwenye warehouses zenu nipo tayari kufanya kazi bure kabisa.Au ikitokea mnahitaji mtu wa kuescort mzigo hadi south africa nipo tayari kufanya kazi bure kabisa.Mda,passport na lugha vyote ninavyo.
Gari zenu zinakuja mpaka Capetown?
Pamoja sana.poa mkuu[emoji1535]