Tunasafisha masink ya vyoo, kunawia yaliyofubaa na kupoteza mvuto

DAN LOKOMOTIVE

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2016
Posts
1,528
Reaction score
1,955
Wakuu salama kama kichwa kinaojieleza hapo juu tunatoa huduma ya kusafisha masink yalyofubaa kwa wakazi wa jiji la dar es salaam tunakuja popote ulipo ndani ya jiji hili.

Gharama ni 10k kwa vyoo na 6k kwa masink ya kunawia.

Kama una uhitaji njoo PM au piga namba 0783672221.

Karibuni
 
HCL inatumika ila inaharibu masink na kuondoa grout
 
Mko wapi kwa Dar? Mnasafisha tiles zilizofubaa pia? sh. ngapi?
 
Mko wapi kwa Dar? Mnasafisha tiles zilizofubaa pia? sh. ngapi?
tuko vigunguti mkuu tiles kama surface yake ni kama sink tunaweza bei inategemeana na ukubwa wa eneo nitumie picha yake pm tuzione boss
 
mjibu huyu nikupe kazi
Wanaweka HCL nyingi sana inatoa uchafu wote ila tatizo inaondoa grout, inaondoa rangi za vigae, sink likuwa jeupe ila litapauka sana na hivyo kuanza shika uchafu mara kwa mara...

Naongelea uzoefu
Maana wanaweka Sulphonic na HCL kwa ratio walizoambiwa ambazo mara nyingi ni 5/20
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…