Mzee Saliboko
JF-Expert Member
- Jan 29, 2018
- 1,311
- 1,018
Mara zote huwa tunashauriwa kutizamana machoni wakati wa usaili wa kazi. Kwangu mambo sio mazuri kama nafanyiwa usaili na mwanamke, huwa siwezi kumwangalia machoni kwa muda mrefu.
Je, kuna mtu anachangamoto kama yangu? Njia za kutatua hilo ni zipi⁉️🤗
Je, kuna mtu anachangamoto kama yangu? Njia za kutatua hilo ni zipi⁉️🤗