IPILIMO
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,819
- 801
Hello,
Kampuni ya KIMI DEVELOPMENT CONSULT LIMITED, kama kawaida tunaendelea kuwafanya watu mbalimbali wafanye shughuli zao kwa misingi imara ya Kiuratibu na Kiutekelezaji katika shughuli zao za kimaendeleo- kwa maana ya ushauri wa kitaalamu kwa wenye miradi, biashara na taasisi mbalimbali.
Hapa chini ni baadhi tu ya shughuli zetu:- tunafanya kwa niaba yako (sio kwamba hujui ila yawezekana huna rasimali muda ya kutosha, au unataka ufanisi zaidi kwa haraka nk) au kwa ajili yako ( kwakuwa huna uzoefu, au taaluma ya kutosha, kukosa muda au kutokuwa na rasilimali watu ya kutosha nk).
Tunahudumia mteja yoyote, popote Tanzania na nje ya nchi (maadamu dunia ni utandawazi)
Kwasasa OFISI za kampuni zipo Mbeya mjini, NA kaunzia Januari tutakuwa Dar es salaam.
Contacts: 0652-656565/0754 734009
Blog KIMI DEVELOPMENT CONSULT LIMITED
Email: kimiconsultancy@gmail.com
Kampuni ya KIMI DEVELOPMENT CONSULT LIMITED, kama kawaida tunaendelea kuwafanya watu mbalimbali wafanye shughuli zao kwa misingi imara ya Kiuratibu na Kiutekelezaji katika shughuli zao za kimaendeleo- kwa maana ya ushauri wa kitaalamu kwa wenye miradi, biashara na taasisi mbalimbali.
Hapa chini ni baadhi tu ya shughuli zetu:- tunafanya kwa niaba yako (sio kwamba hujui ila yawezekana huna rasimali muda ya kutosha, au unataka ufanisi zaidi kwa haraka nk) au kwa ajili yako ( kwakuwa huna uzoefu, au taaluma ya kutosha, kukosa muda au kutokuwa na rasilimali watu ya kutosha nk).
- Kuandaa ripoti aina mbalimbali za mradi, biashara au taasisi yako.
- Kuandaa mipango kazi ya mwaka katika taasisi au shirika n.k
- Kuandaa mipango ya biashara mpya au biashara zinazoendelea (hasa katika kupanua biashara husika)
- Kuratibu upatikanaji wa rasilimali fedha kwa ajili ya mradi au biashara yako
- Kuandaa ANDIKO la mradi wowote; kijamii na kiuchumi katika maendeleo
- Kuandaa na kufanya semina kwa wafanyakazi katika mambo ya msingi ya kufanikisha/kuboresha taasisi husika
- Kuandaa ANDIKO la utafiti (research proposals), kutathimini na kuhariri maandiko ya utafiti- kama proof readers na Kufanya data analysis kutumia SPSS nk.
- Kuandaa katiba za kuanzishia makampuni na mashirika yasiyo kuwa ya kiserikali (NGOs na vikundi mbalimbali), na Tunaweza kusaidia mchakato wa usajili hadi wewe kupata usajili husika (option)
- Kusimamia uanzishwaji na au ufanyaji kazi wa mradi fulani katka eneo la mradi na kutoa ripoti mhimu za kufanikisha malengo ya mradi husika. (project management and reporting)
- Kutathimini wazo la mradi na kufanya upembuzi yakinifu kabla ya mradi kuanza.
- Kutafuta, kuagiza na kukuletea bidhaa yoyote hitajika, moja au kwa wingi kutoka vyanzo vya nje au ndani ya nchi, ilimradi bidhaa husika ni bora na kwa gharama tunayo kubaliana. (sourcing, ordering and selling/supplying various goods as per customer's demand whether locally made or importing).
Tunahudumia mteja yoyote, popote Tanzania na nje ya nchi (maadamu dunia ni utandawazi)
Kwasasa OFISI za kampuni zipo Mbeya mjini, NA kaunzia Januari tutakuwa Dar es salaam.
Contacts: 0652-656565/0754 734009
Blog KIMI DEVELOPMENT CONSULT LIMITED
Email: kimiconsultancy@gmail.com
- Kufanyia kazi wazo/hitaji la mteja lenye uhusiano na Documentation (uandishi wa maandiko mbalimbali kadri ya uhitaji).