Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Wakuu,
Kama mnakumbuka wakati wa usajiri kipindi kile yanga kulikuwa na majina mawili mezani,wote wakiwa ni wacongo man
Yaani yanick bangala na henock inonga injinia alianza kumfuata kwanza inonga ambaye akaanza kuleta mashauzi kama mwanamke ndipo injinia akasafiri mpaka Morocco kumfuata kiraka bangala litombo ambaye alisajiriwa kama beki wa kati..hivyo inonga mpango ukafeli na akaenda simba.
Lakini kufikia sasa tunaona usajiri upi ulikuwa wa faida zaidi
Kwanza bangala anacheza namba nyingi na amekuwa mchezaji muhimu zaidi kikosini.
Huku kazi yake ikionekana kwa kiwango kikubwa na kukubalika...mara nyingi amekuwa akicheza kama kiungo wa chini kitu ambacho inonga hawezi kwani hana ubavu..
Mpaka sasa bangala amechangia mafanikio kwa team yake ikiwemo kutengeneza ulinzi imara na kupelekea yanga kuwa unbeaten mpaka sasa na ikiruhusu magoli machache zaidi..
Huku inonga huko simba akigeuzwa kichaka cha walevi kumalizia haja zao wazi wazi, amekuwa ni mchezaji mwenye sifa na maneno mengi kama muimba taarabu na pia ametengeneza ukuta mbovu na mwenzie onyango hali iliyopelekea kukosa kombe msimu huu na kutobolewa mechi mbili tena na vibonde kagera na angalau team nzuri mbeya city,
Kwa mantiki hii unaona namna yanga walivyonusurika kupigwa za uso kwa inonga kama ambavyo walinusurika kuuziwa mbuzi kwenye gunia kwa Ibrahim ame ,ambaye muda sio mrefu atarudi kwao Zanzibar kucheza ndondo.
Huyo simba waliingizwa chaka wakidai ni zaidi ya mwamnyeto leo hii inadhihirisha wazi huku bakari akiwa ndiye beki ghali zaidi wa kitanzania kwa sasa..
Simba wanapaswa kusajiri kitaalamu kama yanga
Kama mnakumbuka wakati wa usajiri kipindi kile yanga kulikuwa na majina mawili mezani,wote wakiwa ni wacongo man
Yaani yanick bangala na henock inonga injinia alianza kumfuata kwanza inonga ambaye akaanza kuleta mashauzi kama mwanamke ndipo injinia akasafiri mpaka Morocco kumfuata kiraka bangala litombo ambaye alisajiriwa kama beki wa kati..hivyo inonga mpango ukafeli na akaenda simba.
Lakini kufikia sasa tunaona usajiri upi ulikuwa wa faida zaidi
Kwanza bangala anacheza namba nyingi na amekuwa mchezaji muhimu zaidi kikosini.
Huku kazi yake ikionekana kwa kiwango kikubwa na kukubalika...mara nyingi amekuwa akicheza kama kiungo wa chini kitu ambacho inonga hawezi kwani hana ubavu..
Mpaka sasa bangala amechangia mafanikio kwa team yake ikiwemo kutengeneza ulinzi imara na kupelekea yanga kuwa unbeaten mpaka sasa na ikiruhusu magoli machache zaidi..
Huku inonga huko simba akigeuzwa kichaka cha walevi kumalizia haja zao wazi wazi, amekuwa ni mchezaji mwenye sifa na maneno mengi kama muimba taarabu na pia ametengeneza ukuta mbovu na mwenzie onyango hali iliyopelekea kukosa kombe msimu huu na kutobolewa mechi mbili tena na vibonde kagera na angalau team nzuri mbeya city,
Kwa mantiki hii unaona namna yanga walivyonusurika kupigwa za uso kwa inonga kama ambavyo walinusurika kuuziwa mbuzi kwenye gunia kwa Ibrahim ame ,ambaye muda sio mrefu atarudi kwao Zanzibar kucheza ndondo.
Huyo simba waliingizwa chaka wakidai ni zaidi ya mwamnyeto leo hii inadhihirisha wazi huku bakari akiwa ndiye beki ghali zaidi wa kitanzania kwa sasa..
Simba wanapaswa kusajiri kitaalamu kama yanga