Chendembe
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 444
- 488
Wanabodi, bila shaka tunafahamu kauli za mtangulizi wa Wizara ya Nishati kuhusu malipo ya gharama za kuunganishiwa umeme ya TZS 27,000.
Nafikiri tuliowengi tuliunga mkono tamko hilo kwa mantiki kwamba miundombinu si mali ya anaeunganishiwa. Hata hivyo, kwa maoni yangu ni Kama vile kumekuwa na mkwamo wa utekelezaji wake.
Labda taratibu za kupanga bei zilikiukwa, au mazowea tuliyojizowesha kulipia gharama ambazo hazitugusi moja kwa moja, au shirika halikiridhia kwa mazoe ya kupokea pesa isiyozingatia uhalisia wa majukumu yao na umiliki wa miundombinu.
Ni busara kabla ya yote, kutatuwa mkwamo huu ili wananchi tujuwe mbivu na mbichi.
Kazi iendeleeeeee
Nafikiri tuliowengi tuliunga mkono tamko hilo kwa mantiki kwamba miundombinu si mali ya anaeunganishiwa. Hata hivyo, kwa maoni yangu ni Kama vile kumekuwa na mkwamo wa utekelezaji wake.
Labda taratibu za kupanga bei zilikiukwa, au mazowea tuliyojizowesha kulipia gharama ambazo hazitugusi moja kwa moja, au shirika halikiridhia kwa mazoe ya kupokea pesa isiyozingatia uhalisia wa majukumu yao na umiliki wa miundombinu.
Ni busara kabla ya yote, kutatuwa mkwamo huu ili wananchi tujuwe mbivu na mbichi.
Kazi iendeleeeeee