Deaf Milionaire
JF-Expert Member
- Apr 21, 2019
- 426
- 497
Kapigwa Uingereza pia, Twaha ni mzuri kuliko DullaNaam, natabiri Twaha Kiduku atashinda, dulla mbabe ana ngumi za fujo fujo tu hamna kitu na hivi katoka kupigwa Urusi ndio kabisa
Alimpiga Francis Cheka akajitangaza bingwa wa TanzaniaKapigwa Uingereza pia, Twaha ni mzuri kuliko Dulla
Ulimuona alivyotoa mimacho Jana? [emoji16]Naam, natabiri Twaha Kiduku atashinda, dulla mbabe ana ngumi za fujo fujo tu hamna kitu na hivi katoka kupigwa Urusi ndio kabisa
Kwa kiduku hawezi kufurukuta mkuu!Alimpiga Francis Cheka akajitangaza bingwa wa Tanzania
Baada kupigwa kwa KO tena round ya 2 karudi kimya kimya hakuna MTU amejua kaenda kujificha morogoro.Naam, natabiri Twaha Kiduku atashinda, dulla mbabe ana ngumi za fujo fujo tu hamna kitu na hivi katoka kupigwa Urusi ndio kabisa
Huyu twaha ana papara sana. Akikutana ma boxer wa kweli hakatizi raundi 2.Kapigwa Uingereza pia, Twaha ni mzuri kuliko Dulla
Nilishuhudia mkuu wangu, huyu atapigwa kipigo cha mbwa koko na Twaha Kiduku.Ulimuona alivyotoa mimacho Jana? [emoji16]
I second youKwa kiduku hawezi kufurukuta mkuu!
Yes, but he is still better than Dulla. Dulla is too slow like robotHuyu twaha ana papara sana. Akikutana ma boxer wa kweli hakatizi raundi 2.
Kweli mkuu....hajatulia kabisaHuyu twaha ana papara sana. Akikutana ma boxer wa kweli hakatizi raundi 2.
TrueHuyu twaha ana papara sana. Akikutana ma boxer wa kweli hakatizi raundi 2.
Twaha kiduku ni hatari , mwakinyo naye yuko vizuri , dullah mbabe hamna kitu, sema kiduku ngumi zake sio nzito sanabondia mkali tanzania ni twaha kiduku, hao akina dulla, mwakinyo hakuna kitu,
Wapo uzito gani hawa !!?? Ni uzito sawa na Mwakinyo!!??Alimpiga Francis Cheka akajitangaza bingwa wa Tanzania