Mhe. Lameck Okambo Airo ni Mbunge wa Rorya kwa awamu mbili toka 2010 -2020.
Mwaka jana aliutangazia umma kuwa atastaafu Ubunge na hatagombea tena katika uchaguzi ujao wa 2020. Wenzako tayari wamekwishautangazia umma kuhusu kung'atuka kwao 2020 lakini pamoja na kuutangzia umma mwaka jana kuwa hutagombea 2020 tunaona bado uko kimya na tamko lako la mwaka jana bado una walakini.
Tunakuomba uutangazie umma uamuzi wako wa kutogombea tena ubunge 2020 kama walivyofanya wenzako.
Rorya tunataka damu mpya.
Mwaka jana aliutangazia umma kuwa atastaafu Ubunge na hatagombea tena katika uchaguzi ujao wa 2020. Wenzako tayari wamekwishautangazia umma kuhusu kung'atuka kwao 2020 lakini pamoja na kuutangzia umma mwaka jana kuwa hutagombea 2020 tunaona bado uko kimya na tamko lako la mwaka jana bado una walakini.
Tunakuomba uutangazie umma uamuzi wako wa kutogombea tena ubunge 2020 kama walivyofanya wenzako.
Rorya tunataka damu mpya.