Arch Barrel
JF-Expert Member
- Feb 1, 2024
- 434
- 1,126
Mkuu tumekaa kinyonge sana, hii habari ya Msigwa haina mibaraka yoyote kwa vijana wenye kiu ya kuona siku moja CDM inatawata Tanzania.
Tunaomba tamko lako, kuna siku ulituaminisha kuwa Msigwa hawezi kuhama chama. Leo tunapigwa na butwaa, yani hata ukijaribu kunywa Castle light ya baridi unahisi unakunywa konyagi.
Hii weekend inaisha kinyoge sana.
Lete neno la Faraja, au tumtarajie shujaa wa sukari
Tunaomba tamko lako, kuna siku ulituaminisha kuwa Msigwa hawezi kuhama chama. Leo tunapigwa na butwaa, yani hata ukijaribu kunywa Castle light ya baridi unahisi unakunywa konyagi.
Hii weekend inaisha kinyoge sana.
Lete neno la Faraja, au tumtarajie shujaa wa sukari