KAY DEE INVESTMENT INATAFUTA WAFANYA WA KUFANYA KAZI YA KUUZA LUKU NA KUTOA HUDUMA YA M-PESA
SIFA ZA MWOMBAJI
1.MSICHANA ASIEZIDI UMRI WA MIAKA 25
2.AWE NA ELIMU YA KIDATO CHA NNE
3.AWE ANISHI MAENEO YA TEMEKE,KWA AZIZI ALLY,AU MTONGANI.
4.AWE NA BIDII YA KAZI
TUMA MAOMBI KUPITIA kelvinvitus@ymail.com
au
kaydee investment
po box 44097 -0713109099
TEMEKE DSM.
aisee! kwa mtu anaye deal na pesa, kumlipa laki moja kwa mwezi ni kuatarisha mtaji wako mkuu: weka kiwango kizuri cha mshahala kama ilivyohainishwa kwenye WAGE ORDER ya 2010 juu ya mishahala ya Sekta, ukifanya mambo yako yatakunyokea.