Tunataka kushiriki CECAFA CUP ili kujiandaa na msimu wa 2024/25

Tunataka kushiriki CECAFA CUP ili kujiandaa na msimu wa 2024/25

Hussein Massanza

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
1,016
Reaction score
2,195
mickyjnrofficial-20240619-0001.jpg


Singida Black Stars SC dhamira yetu ni kushiriki michuano ya CECAFA Kagame Cup 2024 endapo kila kitu kitaenda kama tulivyopanga.

Tumeshawasiliana na waandaaji tunasubiri watupe uthibitisho rasmi na mpaka sasa hatuoni kikwazo chochote kutoka kwao.

Tayari tumeshatoa taarifa kwa wachezaji wote wanatakiwa kuripoti jijini Dar es Salaam Julai Mosi 2024 kwa ajili ya kujiandaa na mashindano hayo.

Tumeamua kuyatumia mashindano ya CECAFA Kagame Cup 2024 kama sehemu ya programu ya Benchi la Ufundi kwa ajili ya maandalizi kuelekea msimu wa mashindano 2024/2025.
 
Back
Top Bottom