Tunataka majibu: Ni nani Aliyemtishia Nape Nnauye Bastola?

Alipoteuliwa kwani aliambiwa sababu kwanini aliteuliwa? Kama hakuambiwa alipoteuliwa hivyo hivyo haambiwi anapotumbuliwa!! You serve at the pleasure of the appointing authority!!! Nyie mnaotaka kuelezwa ni wakina nani mliyetumwa na Nape?
Huyo aliyejifanya mteuzi yupo wapi? Ameshaoza huko. Kama unampenda sana mfate chattle
 
Wewe una uhakika gan kama hamorapa hamjui ? Do not under rate other people
 
Huyo aliyejifanya mteuzi yupo wapi? Ameshaoza huko. Kama unampenda sana mfate chattle

Nape utahangaika sana hizo mbinu zako wenzio wameisha zisoma!! Kwanini hutumii akili kama wenzio? Taabu yako elimu yako ni ya kuunga unga huko India!!!

Tuliza bori, wacha kupiga mayowe waache watu waone wenyewe!
 
Kama nape yupo kimya atakuwa ashamalizana nao.Huyo ni mtu asiyejulikana anaitwa Henry Kisanduku aka sniper ukiingia insta alikuwa mlinzi binafsi wa bashite.Ila kwa sasa ni SAwa na vifaranga yatima visivyoulinzi,sema tu hatuna utamaduni wa kulipa visasi.
 
Hivi unataka wewe na nani? mbona aliyeng'olewa meno kule Mabwepande hujauliza au huyo sio raia mwema? Acha kuleta nchi ya fitina. Acha kazi iendelee
 
Kama akili yako umemkabidhi mganga wa kienyeji utakumbukaje kwamba kesho ipo
Tulishihudia zama za ajabu sana, ubabe wa kitoto kabisa! hayo aliyofanya yalikuwa enzi hizo kwenye disco toto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…