Tunataka majibu: Ni nani Aliyemtishia Nape Nnauye Bastola?

Daa sikuamini nilivokuja kukutana na huyu mwamba aise na Sehemu niliyokutana naye. Halafu akawa mwana balaa.
Sema jamaa bisho kweli yaani.
Kuna Chaka walienda kumficha. Nape anapajua lakini.
 
Mimi nahisi yule aliyetoa bastola alikuwa ni jiwe mwenyewe isipokuwa alitwaa mwili wa mtu mwingine unajua haya majini na mapepo yanaweza kujibadilisha kadri yatakavyoona inafaa
 
Nimegundua jiwe alikiwa mtu weak sana.....wale watu ukimpiga hoja moja anashika mawe!!
 
Inasemekana alitumwa na le commandent field marshal Daud Albert Bashite.
 
Tunaanza upyaaaa (in bwege's voice)
 
Kwahiyo amekua waziri ili amjue aliyemshikia bastola??

Ndicho watanzania wanachokihitaji katika Wizara aliyopewa.

Kwa staili hii ndio maana bado hatujaachana na mikopo.
 
2. Pia tunataka kuelezwa, Je, kosa la Nape lilikuwa ni lipi kwenye hilo saga hadi akapelekea kupoteza kazi yake ya uwaziri?
Aliyemtoa Nape madarakani hayupo... Nani tena wa kutoa kosa la Nape zaidi ya yule aliyemteua na kumuondoa?
 
Kwahiyo amekua waziri ili amjue aliyemshikia bastola??

Ndicho watanzania wanachokihitaji katika Wizara aliyopewa.

Kwa staili hii ndio maana bado hatujaachana na mikopo.

Tunakopa kwa maendeleo ya nchi sukuma gang mlituharibia sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…