Elections 2010 Tunataka matokeo ya kwae upesi with 1 hour viginevyo...

Elections 2010 Tunataka matokeo ya kwae upesi with 1 hour viginevyo...

Tutangazie halima wetu kashinda ,ama sivyo yatatokea ya shy
Shy yameshatangazwa?maana nilisikia kulikuwa na fujo na mabomu ya machozi. Nasikia JK aliingia jioni mjini shy akitokea Mwanza. Matokeo ni vipi hapo Shy?
 
Shy yameshatangazwa?maana nilisikia kulikuwa na fujo na mabomu ya machozi. Nasikia JK aliingia jioni mjini shy akitokea Mwanza. Matokeo ni vipi hapo Shy?

anaenda huko kufanya nini hasa jamani mna uhakika mnachoongea?
 
Back
Top Bottom