Shy yameshatangazwa?maana nilisikia kulikuwa na fujo na mabomu ya machozi. Nasikia JK aliingia jioni mjini shy akitokea Mwanza. Matokeo ni vipi hapo Shy?
Shy yameshatangazwa?maana nilisikia kulikuwa na fujo na mabomu ya machozi. Nasikia JK aliingia jioni mjini shy akitokea Mwanza. Matokeo ni vipi hapo Shy?