Tunataka mkoa wa Kagera uwe kati ya mikoa yenye 'Specialization', sio kila filimbi tunaitikia

Tunataka mkoa wa Kagera uwe kati ya mikoa yenye 'Specialization', sio kila filimbi tunaitikia

conductor

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2013
Posts
811
Reaction score
681
Hamna nchi au mkoa utakaokombolewa na Mgeni, neno political will lazima liwe na wazawa ndani yake. Kulaumu haliwezi kuleta tija katika aina yoyote ya mapambano, iwe Ajira, afya, elimu au biashara. Lazima litokee kundi madhubuti kuongoza bidii, iwe ya maendeleo, au ulalamishi, au kuhubiri lazma itokee nguvu ya kusukuma afya ya HOJA.

Alaumiwe KIPA, Kocha, UWANJA au MWALIMU lazima MWISHO wa siku hatua mpya ianze, ubunifu mpya uzaliwe, kilicho kibovu kiondolewe, asiye na elimu aelimishwe, aliye mzembe abidiishwe na lazma imani mpya ijengeke miongoni mwa JAMII, lazma tuache kutumia kundi lile lile liloshindwa kufafanua na kutatua matatizo.

IMG_20240313_101301_MP.jpg


Kila anayeguswa na matatizo ya mkoa wa KAGERA basi aanze leo kwa kupiga goti kusali, kubuni njia mbadala ya ushawishi ili KAGERA sasa iwe na :

1.UWANJA MPYA WA NDEGE-OMUKAJUNGUTI
2. KILIMO CHA KAHAWA NA NDIZI (hotculture)..
3. USAFIR IMARA NA SALAMA KWENYE ZIWA VICTORIA (Bukoba -mwanza).

Tunataka mkoa KAGERA uwe Kati ya mikoa yenye SPECIALIZATION sio kila filimbi tunaitikia.
Basi KAMOCHA inakupa nafasi kutoa njia bora ya kurudisha KAGERA kwenye RAMANI YA KIUCHUMI na KIUTAMADUNI.

Wewe unayejiita msomi kutoka KAGERA, mkulima wa/kutoka Kagera, mwasiasa wa Kagera, MHAYA, Msubi, Mnyambo na wewe uliyeoa, na kuolewa Kagera nk kutoka Kagera leta ufanisi wako sasa nini kifanyike kusonga mbele katika ushindani wa KIUCHUMI na kiutamuduni.

Wakati unawaza kuchangia HOJA usisahau maneno haya kwa namna yoyote utakayo itafsiri.
1. GEOPOLITICS
2.POLITICIAN
3.PROPAGANDA
4.RELIGION.

Ukijiisi unapingana na KAMOCHA busara ikukumbushe ni Sawa na kutokuwa Mzalendo wa nchi YAKO.

image_07ae7a40-8c95-4b2e-b4c8-a164aacccbe620221202_213701.jpg
 
mkuu endeleeni kumwaga maji, ndo mnachokijua zaidi
hayo mengine unatuchosha tu, na nasikia ulaji wa matoke unachochea kumwaga maji
 
Kagera ni nyumbani
Kila lenye heri liwe na Jamhuri ya Watu wa Kagera
 
Hamna nchi au mkoa utakaokombolewa na Mgeni, neno political will lazima liwe na wazawa ndani yake. Kulaumu haliwezi kuleta tija katika aina yoyote ya mapambano, iwe Ajira, afya, elimu au biashara. Lazima litokee kundi madhubuti kuongoza bidii, iwe ya maendeleo, au ulalamishi, au kuhubiri lazma itokee nguvu ya kusukuma afya ya HOJA.

Alaumiwe KIPA, Kocha, UWANJA au MWALIMU lazima MWISHO wa siku hatua mpya ianze, ubunifu mpya uzaliwe, kilicho kibovu kiondolewe, asiye na elimu aelimishwe, aliye mzembe abidiishwe na lazma imani mpya ijengeke miongoni mwa JAMII, lazma tuache kutumia kundi lile lile liloshindwa kufafanua na kutatua matatizo.

View attachment 2984314

Kila anayeguswa na matatizo ya mkoa wa KAGERA basi aanze leo kwa kupiga goti kusali, kubuni njia mbadala ya ushawishi ili KAGERA sasa iwe na :

1.UWANJA MPYA WA NDEGE-OMUKAJUNGUTI
2. KILIMO CHA KAHAWA NA NDIZI (hotculture)..
3. USAFIR IMARA NA SALAMA KWENYE ZIWA VICTORIA (Bukoba -mwanza).

Tunataka mkoa KAGERA uwe Kati ya mikoa yenye SPECIALIZATION sio kila filimbi tunaitikia.
Basi KAMOCHA inakupa nafasi kutoa njia bora ya kurudisha KAGERA kwenye RAMANI YA KIUCHUMI na KIUTAMADUNI.

Wewe unayejiita msomi kutoka KAGERA, mkulima wa/kutoka Kagera, mwasiasa wa Kagera, MHAYA, Msubi, Mnyambo na wewe uliyeoa, na kuolewa Kagera nk kutoka Kagera leta ufanisi wako sasa nini kifanyike kusonga mbele katika ushindani wa KIUCHUMI na kiutamuduni.

Wakati unawaza kuchangia HOJA usisahau maneno haya kwa namna yoyote utakayo itafsiri.
1. GEOPOLITICS
2.POLITICIAN
3.PROPAGANDA
4.RELIGION.

Ukijiisi unapingana na KAMOCHA busara ikukumbushe ni Sawa na kutokuwa Mzalendo wa nchi YAKO.

View attachment 2984356
Moderator hiyo sio title yangu ni yako....soma article NZIMA afu ujue kama hiyo title iko vizuri nyie ndo wachawi wwla mkoa Kagera. Yangu ni KAGERA MOVEMENT FOR CHANGE.
 

Attachments

  • FB_IMG_1715158881290.jpg
    FB_IMG_1715158881290.jpg
    38.3 KB · Views: 6
Nimeishia hapo tu uliposema mpige goti msali, kupiga goti? Prayers ain't working no more!
 
Back
Top Bottom