muungano ni mzimu, we dont want thith kind ov muungano wa kutuletea umasikini. Tanganyika nakupenda kwa moyo wote. Mungu ibariki Tanganyika, Mungu rudisha zanzibar hatuitaki iwe sehemu ya nchi yetu.:bored::bored:
Swali kwa Watanzania Bara aka Watanganyika, ni Serikali 3, 2 , 1
Swali kwa Wanzanibar ni Serikali moja au Serikali Tatu, hili swali la serikali 2 kwa wanzanzibar sio muafa kwao kwani wao tayari wanayo yao.