Tunataka tuone Russia akimpiga Finland na Sweden

Tunataka tuone Russia akimpiga Finland na Sweden

Narumu kwetu

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
1,888
Reaction score
4,489
Zaidi ya mara moja Russia imekua ikitoa vitisho kwamba ,endapo Finland na Sweden wakijaribu kuchukua hatua za kujiunga na NATO atatembeza dozi,cha ajabu jamaa wameshaanza process za awali kabisa ambapo mchakato huu huchukua mwaka mzima kumalizika.

Tumeshuhudia England ikiwekeana mkataba wa kiusalama baina ya Finland na Sweden ,kwamba endapo watavamiwa na mbabe yoyote England atawasaidia direct .

Jiulize hapa si tayar wamesgajiunga NATO? Maana kama ukiwagusa Finland na Sweden ,U.K akaingilia ujue hupigani na U.K tuu Bali NATO nzima ,hivyo Russia keshauona huu mtego sidhani kama atajaribu kuvamia hizo nchi.

Huwa tuna under estimate uwezo wa NATO ila hawa jamaa kuifanya Russia kuwa ghost country ni rahis sana ,wanamwekea mitego mingi ,ila nashukuru Russia wamejitambua maana wataiaribu nchi yao kimasihara.

Hapa mama wa Sweden anaanguka sahihi ya NATO application form

64b78d2f-78f5-4929-a142-4fed46566862.jpg
 
Wamemlia timming kipindi kashikwa mbupu Ukreine huko kwenyewe anapigana na ulaya hivyo akitaka ashindwe aingie vita na huko japo jana kapeleka makombora mzito mpakani na Finland
 
Iskander zimeonekana leo mpakani mwa Finland, so hatujui kama ni mazoezi tu [emoji848], ila Putin kuna day alisema hakuna tatizo hizo nchi kujiunga na Nato ila zisiwe mwanachama wa kudumu na zisiingizwe silaha za Nuclear ktk nchi hizo, ila leo nilipoona maiskander yanaelekezwa huko [emoji23][emoji23][emoji16] nikajua haya ni mazoezi kama yale ya Ukraine
 
Mnaona mrusi cha mdoli sana, mkithubuti tu kumchangia basi mtambue hiyo vita itakuwa kubwa sana mfano wake haujawahi kutokea na mtambue mrusi hata kuwa peke yake kwenye hiyo vita
 
Iskander zimeonekana leo mpakani mwa Finland, so hatujui kama ni mazoezi tu [emoji848], ila Putin kuna day alisema hakuna tatizo hizo nchi kujiunga na Nato ila zisiwe mwanachama wa kudumu na zisiingizwe silaha za Nuclear ktk nchi hizo, ila leo nilipoona maiskander yanaelekezwa huko [emoji23][emoji23][emoji16] nikajua haya ni mazoezi kama yale ya Ukraine
Mnahamisha magoli sasa
 
Mnahamisha magoli sasa
Mkuu hizi ni vita na sio mamneno ya udaku [emoji23][emoji23][emoji16], mm huwa nanakiri tu alichokisema Putin, mm sie mwenye silaha, hayo maneno ya kuhamisha magoli peleka magazeti ya udaku [emoji23]
 
Mnaona mrusi cha mdoli sana, mkithubuti tu kumchangia basi mtambue hiyo vita itakuwa kubwa sana mfano wake haujawahi kutokea na mtambue mrusi hata kuwa peke yake kwenye hiyo vita
Atakua na wewe nini bwashee
 
Jeshi la Finland skuizi wanakula tizi balaa, mijitu mirefu balaa nyuso zao wamepaka masizi kwa utemi, yule waziri wa mambo ya usalama anasema Finland wamekuwa na silaha nzito miaka mingi wanazifuta futa mavumbi tu labda wanazipeleka kwenye maonyesho yaani ana hamu apate mtu amchokoze ili wafaidi matumizi yake, Finland ni katika nchi za ulaya iliyo na silaha za kisasa kabisa
 
Iskander zimeonekana leo mpakani mwa Finland, so hatujui kama ni mazoezi tu [emoji848], ila Putin kuna day alisema hakuna tatizo hizo nchi kujiunga na Nato ila zisiwe mwanachama wa kudumu na zisiingizwe silaha za Nuclear ktk nchi hizo, ila leo nilipoona maiskander yanaelekezwa huko [emoji23][emoji23][emoji16] nikajua haya ni mazoezi kama yale ya Ukraine
Hana ujanja huo kwa sasa.
 
Zaidi ya mara moja Russia imekua ikitoa vitisho kwamba ,endapo Finland na Sweden wakijaribu kuchukua hatua za kujiunga na NATO atatembeza dozi,cha ajabu jamaa wameshaanza process za awali kabisa ambapo mchakato huu huchukua mwaka mzima kumalizika.

Tumeshuhudia England ikiwekeana mkataba wa kiusalama baina ya Finland na Sweden ,kwamba endapo watavamiwa na mbabe yoyote England atawasaidia direct .

Jiulize hapa si tayar wamesgajiunga NATO? Maana kama ukiwagusa Finland na Sweden ,U.K akaingilia ujue hupigani na U.K tuu Bali NATO nzima ,hivyo Russia keshauona huu mtego sidhani kama atajaribu kuvamia hizo nchi.

Huwa tuna under estimate uwezo wa NATO ila hawa jamaa kuifanya Russia kuwa ghost country ni rahis sana ,wanamwekea mitego mingi ,ila nashukuru Russia wamejitambua maana wataiaribu nchi yao kimasihara.

Hapa mama wa Sweden anaanguka sahihi ya NATO application form

View attachment 2227832
Russia mikwala Mingi atakayeingilia vita atakutana na Moto mpaka sasa silaha zinaingia
 
Wamemlia timming kipindi kashikwa mbupu Ukreine huko kwenyewe anapigana na ulaya hivyo akitaka ashindwe aingie vita na huko japo jana kapeleka makombora mzito mpakani na Finland
Sawa apeleke, si ndani ya ardhi yake? Apeleke tu.
 
Jeshi la Finland skuizi wanakula tizi balaa, mijitu mirefu balaa nyuso zao wamepaka masizi kwa utemi, yule waziri wa mambo ya usalama anasema Finland wamekuwa na silaha nzito miaka mingi wanazifuta futa mavumbi tu labda wanazipeleka kwenye maonyesho yaani ana hamu apate mtu amchokoze ili wafaidi matumizi yake, Finland ni katika nchi za ulaya iliyo na silaha za kisasa kabisa
Zinamshinda za mrusi?? Usifikirilie hii vita itapiganwa kama ya kule ukraine. Kule tulikuwa tunafanya mazoezi tu.
 
Mnaona mrusi cha mdoli sana, mkithubuti tu kumchangia basi mtambue hiyo vita itakuwa kubwa sana mfano wake haujawahi kutokea na mtambue mrusi hata kuwa peke yake kwenye hiyo vita
Atakuwa na nani mkuu?
 
Zinamshinda za mrusi?? Usifikirilie hii vita itapiganwa kama ya kule ukraine. Kule tulikuwa tunafanya mazoezi tu.
Mazoezi wakati jana kwenye ule mto majeshi ya Russia karibu 1000 wameuliwa wakijaribu kuvuka kuingia Ukraine, ukiambiwa jiambie ngoma ni ngumu kwa babako putini
 
Leo Bunge la Finland wamepiga Kura na asilimia 88% ya wabunge wamepiga Kura ya kukubali nchi Yao ijiunge na NATO
 
Back
Top Bottom