Tunataka UWT watoe tamko la kukemea majizi na wavivu

Tunataka UWT watoe tamko la kukemea majizi na wavivu

BICHWA KOMWE -

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2022
Posts
6,373
Reaction score
16,073
Sisi watanzania, tunalitaka lile kundi la akina mama wa CCM (UWT) lione haja ya kukemea majizi na wachepushaji wa fedha za wananchi.

Kila mahala ukipita lazima ukutane na hadithi ya majambazi kukwapua fedha za miradi na za ofisi za umma. Majizi yametamalaki yanakomba na kufakamia.

Tunamtaka Mary Chatanda ainuke akemee vikali ujambazi wa fedha za umma, akemee wazembe na wavivu, na akemee ujanja ujanja kwenye rasilimali za nchi.

Akina mama wanateseka hawana maji wala hospitali kwa sababu ya majizi na wavivu. Huduma hazipatikani kwa sababu ya fedha kutapanywa na kukwapuliwa na magoigoi wasioweza kazi.

Tunamtaka Mary Chatanda ainuke kwa madoido na mbwembwe awafokee hawa majambazi na majizi sugu ili taifa lipone.
 
Sisi watanzania, tunalitaka lile kundi la akina mama wa CCM (UWT) lione haja ya kukemea majizi na wachepushaji wa fedha za wananchi.

Kila mahala ukipita lazima ukutane na hadithi ya majambazi kukwapua fedha za miradi na za ofisi za umma. Majizi yametamalaki yanakomba na kufakamia.

Tunamtaka Mary Chatanda ainuke akemee vikali ujambazi wa fedha za umma, akemee wazembe na wavivu, na akemee ujanja ujanja kwenye rasilimali za nchi.

Akina mama wanateseka hawana maji wala hospitali kwa sababu ya majizi na wavivu. Huduma hazipatikani kwa sababu ya fedha kutapanywa na kukwapuliwa na magoigoi wasioweza kazi.

Tunamtaka Mary Chatanda ainuke kwa madoido na mbwembwe awafokee hawa majambazi na majizi sugu ili taifa lipone.
Wewe na watanzania wapi? Hayo so called majizi mmewaimba mara ngapi? Mpaka report ya CAG imetoka wamechukuliwa hatua zipi?
 
Sisi watanzania, tunalitaka lile kundi la akina mama wa CCM (UWT) lione haja ya kukemea majizi na wachepushaji wa fedha za wananchi.

Kila mahala ukipita lazima ukutane na hadithi ya majambazi kukwapua fedha za miradi na za ofisi za umma. Majizi yametamalaki yanakomba na kufakamia.

Tunamtaka Mary Chatanda ainuke akemee vikali ujambazi wa fedha za umma, akemee wazembe na wavivu, na akemee ujanja ujanja kwenye rasilimali za nchi.

Akina mama wanateseka hawana maji wala hospitali kwa sababu ya majizi na wavivu. Huduma hazipatikani kwa sababu ya fedha kutapanywa na kukwapuliwa na magoigoi wasioweza kazi.

Tunamtaka Mary Chatanda ainuke kwa madoido na mbwembwe awafokee hawa majambazi na majizi sugu ili taifa lipone.
Sema waikemee ccm maana hayo yote uliyoyataja yamejaa ukumbini mwa ccm
 
Sisi watanzania, tunalitaka lile kundi la akina mama wa CCM (UWT) lione haja ya kukemea majizi na wachepushaji wa fedha za wananchi.

Kila mahala ukipita lazima ukutane na hadithi ya majambazi kukwapua fedha za miradi na za ofisi za umma. Majizi yametamalaki yanakomba na kufakamia.

Tunamtaka Mary Chatanda ainuke akemee vikali ujambazi wa fedha za umma, akemee wazembe na wavivu, na akemee ujanja ujanja kwenye rasilimali za nchi.

Akina mama wanateseka hawana maji wala hospitali kwa sababu ya majizi na wavivu. Huduma hazipatikani kwa sababu ya fedha kutapanywa na kukwapuliwa na magoigoi wasioweza kazi.

Tunamtaka Mary Chatanda ainuke kwa madoido na mbwembwe awafokee hawa majambazi na majizi sugu ili taifa lipone.
Majizi yapo ndani ya CCM, na Chatanda akiwemo. Unataka ajifokee mwenyewe? It is impossible.
 
Sisi watanzania, tunalitaka lile kundi la akina mama wa CCM (UWT) lione haja ya kukemea majizi na wachepushaji wa fedha za wananchi.

Kila mahala ukipita lazima ukutane na hadithi ya majambazi kukwapua fedha za miradi na za ofisi za umma. Majizi yametamalaki yanakomba na kufakamia.

Tunamtaka Mary Chatanda ainuke akemee vikali ujambazi wa fedha za umma, akemee wazembe na wavivu, na akemee ujanja ujanja kwenye rasilimali za nchi.

Akina mama wanateseka hawana maji wala hospitali kwa sababu ya majizi na wavivu. Huduma hazipatikani kwa sababu ya fedha kutapanywa na kukwapuliwa na magoigoi wasioweza kazi.

Tunamtaka Mary Chatanda ainuke kwa madoido na mbwembwe awafokee hawa majambazi na majizi sugu ili taifa lipone.
Na wale wahuni wa LHRC bila kuwasahau!
 
Sisi watanzania, tunalitaka lile kundi la akina mama wa CCM (UWT) lione haja ya kukemea majizi na wachepushaji wa fedha za wananchi.

Kila mahala ukipita lazima ukutane na hadithi ya majambazi kukwapua fedha za miradi na za ofisi za umma. Majizi yametamalaki yanakomba na kufakamia.

Tunamtaka Mary Chatanda ainuke akemee vikali ujambazi wa fedha za umma, akemee wazembe na wavivu, na akemee ujanja ujanja kwenye rasilimali za nchi.

Akina mama wanateseka hawana maji wala hospitali kwa sababu ya majizi na wavivu. Huduma hazipatikani kwa sababu ya fedha kutapanywa na kukwapuliwa na magoigoi wasioweza kazi.

Tunamtaka Mary Chatanda ainuke kwa madoido na mbwembwe awafokee hawa majambazi na majizi sugu ili taifa lipone.
UWT na Hao waki za binadamu huwezi kusikia wakitoa tamko kwa maiizi wala report ya CAG wao ni kwenye kutetea upumbavu
 
Wewe na watanzania wapi? Hayo so called majizi mmewaimba mara ngapi? Mpaka report ya CAG imetoka wamechukuliwa hatua zipi?
Si ndiyo sasa chatanda atoke hadharani atoe kauli ya UWT kutaka hao wote wanaotajwa na CAG wachukuliwe hatua. Mbona hajawahi kukemea huo wizi? Au yeye anfurahia huo wizi?!
 
Back
Top Bottom