Tunataka watu ambao tayari walishatajirika kama Mbowe wawe marais wetu kwani wanaujua uchumi na hawatatuibia

Tunataka watu ambao tayari walishatajirika kama Mbowe wawe marais wetu kwani wanaujua uchumi na hawatatuibia

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Tanzania tofauti na nchi nyingi tunachagua marais maskini ambao hawajui hata kufuga kuku. Hawa watu wakiingia madarakani ndio huanza kuuza twiga, tembo na misitu yetu pamoja na kuingia mikataba mibovu na wageni ili wajipatie chochote.

Lakini watu walioingia siasa tayari wakiwa matajiri kama akina Mbowe wanaweza kutufaa zaidi kwani mara nyingi hawa watu hawatafuti fedha kwa njia za mkato kwani tayari wanazo.

Mbowe anafaa sana kuipeleka nchi kwenye uchumi wa uhakika kwani anajua uchumi sio kinadharia tu bali kivitendo pia.

HONGERA MBOWE KWA MJENGO MPYA HUKO MACHAME PAMOJA NA MADHILA ALOKUFANYIA MWENDAZAKE! UMEUPIGA VILIVYO!https://www.jamiiforums.com/attachments/screenshot_2023-11-12-19-35-48-1-png.2812732/
 
Tanzania tofauti na nchi nyingi tunachagua marais maskini ambao hawajui hata kufuga kuku. Hawa watu wakiingia madarakani ndio huanza kuuza twiga, tembo na misitu yetu pamoja na kuingia mikataba mibovu na wageni ili wajipatie chochote.

Lakini watu walioingia siasa tayari wakiwa matajiri kama akina Mbowe wanaweza kutufaa zaidi kwani mara nyingi hawa watu hawatafuti fedha kwa njia za mkato kwani tayari wanazo.

Mbowe anafaa sana kuipeleka nchi kwenye uchumi wa uhakika kwani anajua uchumi sio kinadharia tu bali kivitendo pia.

HONGERA MBOWE KWA MJENGO MPYA HUKO MACHAME PAMOJA NA MADHILA ALOKUFANYIA MWENDAZAKE! UMEUPIGA VILIVYO!https://www.jamiiforums.com/attachments/screenshot_2023-11-12-19-35-48-1-png.2812732/
matajiri hawashibi bro!!!!!!,,,,,,,,,,,mwangalie MO,ni tajiri sana lakini yuko bize kutafuta pesa!!!!,,,,,,,,mwangalie TRUMP nonge la tajiri lakini ana ksei ya wizi mahakamani,,mwangalie kenyatta aliyekuwa rais wa kenya,,bonge la fogo lakini serikali yake ilikuwa na kashfa ya ufisadi!!
 
Back
Top Bottom