KIPINDUPINDU ni dili Wizarani. Per diems za kuanzisha kambi maalum ya wagonjwa wa KIPINDUPINDUWaziri wa Afya anatangaza uwepo wa Janga la KIPINDUPINDU kama kitu cha kujivunia kama taifa. Leo nimeenda restaurant Mnazi Mmoja nimeghairisha hata Kula kutokana na mazingira machafu kuanzia jikoni, wahudumu na vyooni. Hapo Kuna Afisa Afya kila Kata anapiga daily kuokota maokoto ya kumalizia mijengo.
Tatizo ni hicho choo ulicho post kilichopo ikulu kipo kwa ajili ya kunyea tu nchi inazamaWaziri wa Afya anatangaza uwepo wa Janga la KIPINDUPINDU kama kitu cha kujivunia kama taifa. Leo nimeenda restaurant Mnazi Mmoja nimeghairisha hata Kula kutokana na mazingira machafu kuanzia jikoni, wahudumu na vyooni. Hapo Kuna Afisa Afya kila Kata anapiga daily kuokota maokoto ya kumalizia mijengo.
View attachment 2870032View attachment 2870035
Ila waswahili mtihan. Na mvua hizi lazima mharishe sanaKIPINDUPINDU sio sifa Bali aibu
Wakati wewe ukiona mazingira hayo ni machafu wapo wanaovutiwa na hali hiyo ya uchafu na wanaamini uchafu ni chanzo cha utajiri.Waziri wa Afya anatangaza uwepo wa Janga la KIPINDUPINDU kama kitu cha kujivunia kama taifa. Leo nimeenda restaurant Mnazi Mmoja nimeghairisha hata Kula kutokana na mazingira machafu kuanzia jikoni, wahudumu na vyooni. Hapo Kuna Afisa Afya kila Kata anapiga daily kuokota maokoto ya kumalizia mijengo.
View attachment 2870032View attachment 2870035
Waswahili wasafi sana wabara walioenda uswahilini ndio wachafuIla waswahili mtihan. Na mvua hizi lazima mharishe sana
Kwahiyo bavicha mnataka serekali iwafanyie usafi?Hakuna kuficha
Arusha hakuna vyoo boraUchafu ndo jadi Pwani yote
Aibu kwako wenzako hiyo ni dili anakula per diem za kutoshaKIPINDUPINDU sio sifa Bali aibu