Tunatarajia kuanzisha biashara ila tuna wasi wasi wa kutofika mbali tukutane hapa

Mzee wa kusawazisha

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2016
Posts
1,601
Reaction score
1,172
Wakuu kama uzi unavyojieleza wewe unatarajia kuanzisha either genge kijiosk.

Duka ama project yeyote yenye kuwekeza kias fulani cha pesa ila kutokana na kukosa ujuzi unahisi kama hutofika mbali na unaamua pesa bora ulee Bata mtaani nakushauri usifanye hivyo

Njoo hapa tupeane Mawili matatu kama msaada na ueleze plan yako ni nini ili tukupe ujuzi......

Nb. Most of people fail because they fail to fail many times.
 
anaeogopa kuanza kwa kuwaza hatofika mbali bora asianze tu hatofika mbali kweli.
 
Mkuu nina plan ya kufungua duka LA takataka(vitu mchanganyiko)
Cha kijjn cha mtaji wa lak 4 HV.
Changamoto kubwa ni mikopo.....unaweza kukopesha hadi 50 kwa wiki.....na faida za maduka zilivyo ndogo .
Ni kukaza roho tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…