Tunatengeneza na kuuza furnitures za majumbani na ofisini

Tunatengeneza na kuuza furnitures za majumbani na ofisini

Joined
Dec 6, 2018
Posts
36
Reaction score
9
Habari wakuu,

Tunatengeneza na kuuza furnitures mbalimbali za majumbani na ofisini tunapatikana chang'ombe (keko).
Mawasiliano: 0652898378
Karibuni sana
IMG-20200910-WA0011.jpg
IMG-20200924-WA0019.jpg
IMG-20200922-WA0000.jpg
IMG-20200921-WA0000.jpg
IMG-20200910-WA0014.jpg
IMG-20200910-WA0013.jpg
IMG-20200910-WA0015.jpg
IMG-20200910-WA0010.jpg
IMG-20200910-WA0006.jpg
IMG-20200928-WA0000.jpg
IMG-20200928-WA0001.jpg
0cdd365f4aa34bc9b6e7b450c483763a.jpg
798c551b27514f858291c7cec737a60c(1).jpg
IMG_20200921_160919_803.jpg
IMG_20200921_155301_596.jpg
IMG_20200921_164227_653.jpg
IMG-20200910-WA0005.jpg

View attachment 1610493View attachment 1610494View attachment 1610492View attachment 1610495View attachment 1610496View attachment 1610498View attachment 1610497View attachment 1610500View attachment 1610499View attachment 1610502View attachment 1610503View attachment 1610501
 

Attachments

  • IMG-20200910-WA0011.jpg
    IMG-20200910-WA0011.jpg
    83.7 KB · Views: 4
Kiongozi kama hutojali naomba bei ya kitanda cha pili ktk picha na hiyo double decker. Otherwise kazi nzuri!
 
Nikija na ngozi yangu unaweza kunitengenezea sofa?
 
Ninataka sofa la nyumbani full set la watu watano la lether ni sh ngap
 
Naona kazi Pierre Liquid kaaamua kuzileta kwa GT. Hongera mkuuu
 
Hongera sana. Samahani Nina maswali na ninaomba uyajibu kwa ukweli.
1. Wewe ndiye mtengenezaji haswa au ni dalali? Keko ninaifahamu ndani nje.
2. Jina la biashara au hii show room inaitwaje? Na kiwanda ni kwa nani nikifika niulizie? Sitaki nikupigie simu.
3. Hivyo vitanda unatengeneza kwa hard wood au soft?
4. Makabati ni hard wood au ni MDF?

Tuanze kwanza na haya
 
Hongera sana. Samahani Nina maswali na ninaomba uyajibu kwa ukweli.
1. Wewe ndiye mtengenezaji haswa au ni dalali? Keko ninaifahamu ndani nje.
2. Jina la biashara au hii show room inaitwaje? Na kiwanda ni kwa nani nikifika niulizie? Sitaki nikupigie simu.
3. Hivyo vitanda unatengeneza kwa hard wood au soft?
4. Makabati ni hard wood au ni MDF?

Tuanze kwanza na haya
Nafuatilia Kwa Karibu UlichoulizA Akujibu
Naongezea Keko Naijua Vizuri Sana
Bidhaa Aweke Bei Hadharani
Mambo Ya Kupiga Simu Ni Baadaye
 
Hongera sana. Samahani Nina maswali na ninaomba uyajibu kwa ukweli.
1. Wewe ndiye mtengenezaji haswa au ni dalali? Keko ninaifahamu ndani nje.
2. Jina la biashara au hii show room inaitwaje? Na kiwanda ni kwa nani nikifika niulizie? Sitaki nikupigie simu.
3. Hivyo vitanda unatengeneza kwa hard wood au soft?
4. Makabati ni hard wood au ni MDF?

Tuanze kwanza na haya
1. Ndio mimi ni fundi kwa kushirikiana na wenzangu
2.Ukifika keko magulumbasi ulizia Jack, Emma, Said au Hamadi
3. Kuhusu material ya vitanda na makabati ni pendekezo la mteja kutokana na mfuko wako utasema unataka material gani
 
Nafuatilia Kwa Karibu UlichoulizA Akujibu
Naongezea Keko Naijua Vizuri Sana
Bidhaa Aweke Bei Hadharani
Mambo Ya Kupiga Simu Ni Baadaye
Mkuu chagua bidhaa unayo ihitaji nami nitakutajia bei hapahapa ila ukitaka maelewano zaidi fika keko magulumbasi au piga simu
 
Back
Top Bottom