hammydeclassic
Member
- Dec 6, 2018
- 36
- 9
Kila furniture inabei yake kwahiyo ukihitaji unapoint unayoitaka nakutajia bei kwamaelewano zaidi usisite kuwasiliana nami 0652898378Mbona huweki bei
SawaKila furniture inabei yake kwahiyo ukihitaji unapoint unayoitaka nakutajia bei kwamaelewano zaidi usisite kuwasiliana nami 0652898378
Karibu sana bossSawa
M2, karibu sana bossDeka la kwanza sh. ngapi?
Hicho kitanda ni sh laki9, iyo double decker m2, karibu sana bossKiongozi kama hutojali naomba bei ya kitanda cha pili ktk picha na hiyo double decker. Otherwise kazi nzuri!
Tunatengeneza boss aina shidaNikija na ngozi yangu unaweza kunitengenezea sofa?
Bei zinatofautiana kutokana na material pamoja na mahitaji ya mteja boss wanguUngeweka tuu bei kwa kila kimoja,haimalizi bando mkuu
Nafuatilia Kwa Karibu UlichoulizA AkujibuHongera sana. Samahani Nina maswali na ninaomba uyajibu kwa ukweli.
1. Wewe ndiye mtengenezaji haswa au ni dalali? Keko ninaifahamu ndani nje.
2. Jina la biashara au hii show room inaitwaje? Na kiwanda ni kwa nani nikifika niulizie? Sitaki nikupigie simu.
3. Hivyo vitanda unatengeneza kwa hard wood au soft?
4. Makabati ni hard wood au ni MDF?
Tuanze kwanza na haya
1. Ndio mimi ni fundi kwa kushirikiana na wenzanguHongera sana. Samahani Nina maswali na ninaomba uyajibu kwa ukweli.
1. Wewe ndiye mtengenezaji haswa au ni dalali? Keko ninaifahamu ndani nje.
2. Jina la biashara au hii show room inaitwaje? Na kiwanda ni kwa nani nikifika niulizie? Sitaki nikupigie simu.
3. Hivyo vitanda unatengeneza kwa hard wood au soft?
4. Makabati ni hard wood au ni MDF?
Tuanze kwanza na haya
Mkuu chagua bidhaa unayo ihitaji nami nitakutajia bei hapahapa ila ukitaka maelewano zaidi fika keko magulumbasi au piga simuNafuatilia Kwa Karibu UlichoulizA Akujibu
Naongezea Keko Naijua Vizuri Sana
Bidhaa Aweke Bei Hadharani
Mambo Ya Kupiga Simu Ni Baadaye