karibu sana bossSawa mkuu, nitakuwa mteja wako siku za usoni.
nakuja pm mkuuUna print t-shirt kuanzia pc ngapi? Nitahitaji pc karibia 500 njoo PM
nimekupm boss imekata kutuma sms imeniletea ujumbe huu.. Elli MshanaUna print t-shirt kuanzia pc ngapi? Nitahitaji pc karibia 500 njoo PM
Pole, nilifunga PM. Ngoja nikucheki Miminimekupm boss imekata kutuma sms imeniletea ujumbe huu..View attachment 1738434
sawa bossPole, nilifunga PM. Ngoja nikucheki Mimi
hata 1 boss tunaprintUna print T-shirt kuanzia ngapi boss
sijaelewa hapo
t-shirt inakua ni juu yangu au naikuta huko huko ofisin kwako?
sawa boss shukran sana kwa maoniile picha ya kwanza juu itoe
Tunapokea oda za kuprint t-shirt za aina zote kwa bei nafuu..t-shirt high quality printed utaipata ya round kwa 10,000/= kwa wakubwa na 9,000/= kwa watoto na za kora ni 15,000/= na watoto 13,000/= hii ni cotton 100%.View attachment 1738250View attachment 1738254
tunapokea oda kwa t-shirt za
1. Familia
2. Shule (wanafunzi na staff)
3. Birthday
4. Msiba
5. Kwaya
6. Vikundi
Tunapatikana (Msongola- Ukonga Dar Es Salaam)
Wasiliana kwa 0789214792 au 0620875713
Vp kwa ambae anataka training mkuu
Mkuu vp kw mimi ninaetaka training wanixaidiajTunapokea oda za kuprint t-shirt za aina zote kwa bei nafuu..t-shirt high quality printed utaipata ya round kwa 10,000/= kwa wakubwa na 9,000/= kwa watoto na za kora ni 15,000/= na watoto 13,000/= hii ni cotton 100%.View attachment 1738250View attachment 1738254
tunapokea oda kwa t-shirt za
1. Familia
2. Shule (wanafunzi na staff)
3. Birthday
4. Msiba
5. Kwaya
6. Vikundi
Tunapatikana (Msongola- Ukonga Dar Es Salaam)
Wasiliana kwa 0789214792 au 0620875713
View attachment 1738540
uko wapiMkuu vp kw mimi ninaetaka training wanixaidiaj
Npo dzm mkuuuko wapi