Tunatoa ujuzi na ushauri mbalimbali kuhusiana na uandishi wa research

Tunatoa ujuzi na ushauri mbalimbali kuhusiana na uandishi wa research

Ntolonyonyo

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
2,231
Reaction score
2,357
Tunatoa ujuzi na ushauri mbalimbali kuhusiana na uandishi wa research. Ushauri hui utahusiana na:

1.Njia za kuandaa na kutambua "Research Title"
2.Namna ya kuandaa "research proposal"
3.Njia zitakazokusaidia katika kutambua na kuandaa "objectives za research"
4.Njia mbalimbali zinazoweza kutumika kukusanya taarifa mbalimbali (Research Data)
5.Njia zinazoweza kutumika kwenye kuchambua data; Data Analysis na kuziwasilisha kwa utaratibu unaokubalika
6.Mbinu mbalimbali za kupanga kazia "research" ili iweze kukuvutia wewe mwandishi pamoja na jamii inayolengwa

Ushauri huu unaweza kufanyika kwa mtu mmoja mmoja au kikundi cha watu kulingana na uhitaji husika.

Karibuni sana tueliminashane na tu-"share" uzoefu kwani elimu haina mwisho..

Asante


IMG-20210410-WA0000.jpg
 
Do you want to deliver highly appealing and scientifically competitive research outputs?

Let's Help You with All Your Research Data Problems: From Data Collection to Data Analysis, and Reports

We employ robust and rigorously-tested algorithms to provide automated data and research solutions with high efficiency, high precision, and unprecedented accuracy, from data collection to data analysis, and reports.

See data visualizations demo:


and sample data and research solutions:


Message us on WhatsApp now: Data & Research Solutions
 
Mimi nahitaji mtu afanye kabisa. Mie kzzi yangu ni kupresent tu? Comments zikitolewa, nyie mnazifanyia kazi. Can you guys do that?
 
Mimi nahitaji mtu afanye kabisa. Mie kzzi yangu ni kupresent tu? Comments zikitolewa, nyie mnazifanyia kazi. Can you guys do that?
SIsi tupo kwa ajili ya kukusaidia kufanya data analysis, sio kufanya kazi yako.
 
Tunatoa ujuzi na ushauri mbalimbali kuhusiana na uandishi wa research. Ushauri hui utahusiana na:

1.Njia za kuandaa na kutambua "Research Title"
2.Namna ya kuandaa "research proposal"
3.Njia zitakazokusaidia katika kutambua na kuandaa "objectives za research"
4.Njia mbalimbali zinazoweza kutumika kukusanya taarifa mbalimbali (Research Data)
5.Njia zinazoweza kutumika kwenye kuchambua data; Data Analysis na kuziwasilisha kwa utaratibu unaokubalika
6.Mbinu mbalimbali za kupanga kazia "research" ili iweze kukuvutia wewe mwandishi pamoja na jamii inayolengwa

Ushauri huu unaweza kufanyika kwa mtu mmoja mmoja au kikundi cha watu kulingana na uhitaji husika.

Karibuni sana tueliminashane na tu-"share" uzoefu kwani elimu haina mwisho..

Asante


View attachment 1749928
Mkuu kiingereza sahihi ni writing siyo writting
 
Back
Top Bottom