kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Katika mambo ambayo yanichekesha ni kutokana na nchi za africa jinsi wanavyotukana nchi za magharibi na kusifia urusi,china,iran, Pakistan, korea, na nchi nyingi zinazopambana na nchi za magharibi.
Sisi ambao tunapenda nchi za magharibi na kuzisifu tunaitwa vibaraka, mashoga.
Lakini sasa cha kushangaza waafrica wengi wanakufa baharini na wengine kuteseka ili waafrike katika nchi izo za mashoga.
Kwanini hawaendi China, Urusi, Iran, Korea.
Kwa ufupi tuwape sifa wazungu pamoja na kuwa tunawaona wabaya ila wanautu ndani wangekuwa warusi, China wangeua watu mpakani mpaka basi.
Na Most of Them ni waislam
Sisi ambao tunapenda nchi za magharibi na kuzisifu tunaitwa vibaraka, mashoga.
Lakini sasa cha kushangaza waafrica wengi wanakufa baharini na wengine kuteseka ili waafrike katika nchi izo za mashoga.
Kwanini hawaendi China, Urusi, Iran, Korea.
Kwa ufupi tuwape sifa wazungu pamoja na kuwa tunawaona wabaya ila wanautu ndani wangekuwa warusi, China wangeua watu mpakani mpaka basi.
Na Most of Them ni waislam