Tunatwanga maji kwenye kinu kuwafukuza wanyaruanda, they are all over on our system

Tunatwanga maji kwenye kinu kuwafukuza wanyaruanda, they are all over on our system

Paul S.S

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2009
Posts
6,407
Reaction score
3,260
Mchungaji Mtikila amewahi kutoa madai mazito juu ya Wanyarwanda kupenyezwa Tanzania kwa ushirikiano wa Kagame na Swahiba yake Museven
Pamoja na tuhuma hizo kuna makubwa zaidi yamejificha nyuma ya pazi na huu sasa ni wakati muafaka wa serikali kuchukua hatua stahiki

Nchi hii ina Wanyaruanda wengi sana kuliko tunavyoweza kufikiria kwa haraka haraka, tena wapo sehemu nyeti kabisa serikali na tunaishi nao mitaani

MIFUMO YAO
Wanyaruanda wanatabia moja ya ajabu kabisa, Mwanamke wa Kinyaruanda akija Tanzania au hata kuolewa na Mtanzania atahakikisha watoto wake wote anazaa na Myaruanda mwenzake atakaye patikane eneo analoishi ikiwezekana hata kama ni house boy na mumewe ni waziri ili mradi tu kulinda unyaruanda wake
Ndio hapa utasikia ile dhana eti waanyaruanda wanadamu kali kwelii, ukizaa naye lazima mtoto atalalia kwa myaruanda sura

Pindi baada ya kuzaliwa mtoto atasoma na taarifa zake zita kwenda Rwanda kwamba kunamtoto mnyaruanda yupo Tz sehemu fulani na jukumu kubwa la mzazi ni kuhakikisha mtoto anasoma vya kutosha hadi form six
Na nikipindi hiki ndio mtoto huanza kuambiwa ukweli kuhusu unyaruanda wake na baba yake halisi

Baada ya hapo mzazi atapeleka taarifa na kama mtoto kafanya vizuri ataelekezwa mama aende kuonana na mtu amabaye atahakikisha mtoto anapata chuo na mkopo 100%

Baada ya kumaliza chuo kijana atapewa kimemo kwenda kuonana na mtu ikulu na atafanyiwa mpango atapata kazi sehemu nyeti kabisa

Haya yote yanawezekana kwasababu tu Wanyaruanda wamejaa kila kona ya nchi kwenye idara zote na wana position za juu kabisa wakijitambulisha kama wahaya
Vigogo hawa ndio huratibu mpango mzima kuanzia kijana anapo maliza form six na chuo kwa kuahakikisha anapata chuo kwa kupata mkopo 100% na baada ya hapo kuhakikisha anapata kazi sehemu nyeti kwa vi memo vya vigogo hao wa kinywaruanda.

Wapo vija wengi sana mara baada ya kumaliza vyuo vikuu huamua kurudi kwao Rwanda na hupokelewa na Serikali mara moja na kupatiwa kazi, kwa wale waliobaki hapa watafanya kazi wakiwa kama watanzania kabisa lakini linapokua swala la utaifa daima Rwanda iatakuja kwanza, na hawa hutumika kupeleka taarifa wanapotakiwa nk


Tumeshuhudia mengi, wapo walioamua kurudi, na wengi bado tunao hapa hapa Tz na mbaya zaidi wapo hadai Ikulu
Mifanao ipo mingi
Kuna mmoja aliteuliwa balozi na JK huku Rwanda kateulia waziri at the same time
Kuna mwanajeshi mmoja alikuwa HQ alishtukiwa kwenye pc yake anadata za siri alipoanza kufuatiliwa akakimbilia kwao rwanda
Kuna Prof wa chuo kikuu UDS alirudi kwao na kupewa uwaziri
List ni ndefu

Jeuri ya Kagame dhidi ya Tz inachagizwa kwa kiasi kikubwa na mtandao huu wa wanyaruanda nchini maana anapata taarifa zote anazotaka toka tanzania toka kwa watu wa ndani kwneye system wakiwa na ngozi ya uhaya huku ndani ni wanyaruanda
 
Back
Top Bottom