Ketoka
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 1,117
- 1,966
Kwa Mara nyingine club pendwa ya Simba inaangukia pua baada ya kukosa kutwaa kombe la Cecafa
Tunaumia sana hasa mambo ambayo viongozi wa Simba mnayafanya,kama hampo tayari kushiriki haya mashindano bora mkae kimya msishiriki kama Yanga
Mnasajili kwa mbwembwe halafu mnaangukia pua,
Mnarudia yale yale makosa ya kutowapeleka kikosi fully kilichosajiliwa kucheza Sport Pesa,mkapeleka kikosi cha ajabu ,tukaangukia pua
Tena Cecafa mnarudia yale yale,mashabiki tunaumia na upumbavu mnaoufanya lakini hamjui tu tunavyoumia,bora msiwe mnashiriki hayo mashindano
Tunaumia sana hasa mambo ambayo viongozi wa Simba mnayafanya,kama hampo tayari kushiriki haya mashindano bora mkae kimya msishiriki kama Yanga
Mnasajili kwa mbwembwe halafu mnaangukia pua,
Mnarudia yale yale makosa ya kutowapeleka kikosi fully kilichosajiliwa kucheza Sport Pesa,mkapeleka kikosi cha ajabu ,tukaangukia pua
Tena Cecafa mnarudia yale yale,mashabiki tunaumia na upumbavu mnaoufanya lakini hamjui tu tunavyoumia,bora msiwe mnashiriki hayo mashindano