Pole sana Mkuu! Ndio hivyo tena Azam wamefanya yao!!!Kwa Mara nyingine club pendwa ya Simba inaangukia pua baada ya kukosa kutwaa kombe la Cecafa
Tunaumia sana hasa mambo ambayo viongozi wa Simba mnayafanya,kama hampo tayari kushiriki haya mashindano bora mkae kimya msishiriki kama Yanga
Mnasajili kwa mbwembwe halafu mnaangukia pua,
Mnarudia yale yale makosa ya kutowapeleka kikosi fully kilichosajiliwa kucheza Sport Pesa,mkapeleka kikosi cha ajabu ,tukaangukia pua
Tena Cecafa mnarudia yale yale,mashabiki tunaumia na upumbavu mnaoufanya lakini hamjui tu tunavyoumia,bora msiwe mnashiriki hayo mashindano
Bora wachezaji wote wawepo,kuliko kuweka kikosi BWashabiki wa Simba ni wajinga sana timu ya Simba imezidiwa uwezo uwanjani...imefungwa na Azam , sasa viongozi wafanyeje,?....Okwi.Boko wlikuwepo siku Simba inafungwa na Kagera Sugar na hawakufanya chochote...Hata kwenye Kagame wangekuwepo bado Simba wangefungwa tu hata kwenye fainali wasinhefika...hakuna timu isiyofungwa
Daaaaaah we jamaa vp.Kwa Mara nyingine club pendwa ya Simba inaangukia pua baada ya kukosa kutwaa kombe la Cecafa
Tunaumia sana hasa mambo ambayo viongozi wa Simba mnayafanya,kama hampo tayari kushiriki haya mashindano bora mkae kimya msishiriki kama Yanga
Mnasajili kwa mbwembwe halafu mnaangukia pua,
Mnarudia yale yale makosa ya kutowapeleka kikosi fully kilichosajiliwa kucheza Sport Pesa,mkapeleka kikosi cha ajabu ,tukaangukia pua
Tena Cecafa mnarudia yale yale,mashabiki tunaumia na upumbavu mnaoufanya lakini hamjui tu tunavyoumia,bora msiwe mnashiriki hayo mashindano
Everton wanavifunga vitimu ushenzi 22..mngeweza kubeba hii aibu ya karneNapendekeza kipindi kama hiki ndio wachezaji wapewe likizo.
Wakati mashindano yote yamemalizika.
Yaani
VPL
FA
Sportpesa
Kagame
Chonde chonde Viongozi wa Simba SC, muda huu ndio unafaa kuwapa wachezaji wetu Likizo.
Maana hakuna tena mashindano yoyote.
Mfano tungeshinda Sportpesa tungepata nafasi ya kuwa onesha wacheji wetu soko la Wingereza. Kwenye mechi na Evartoni.
Chonde chonde viongozi msiwapumzishe wachezaji mashuhuri wakati wa mashindano yanaendelea.
Mda mzuri ni sasa ambapo mashindano yote yameisha
Chonde Chonde
Mezaa majiihayooo yauhaiii dogooo tuliza mzukaaKwa Mara nyingine club pendwa ya Simba inaangukia pua baada ya kukosa kutwaa kombe la Cecafa
Tunaumia sana hasa mambo ambayo viongozi wa Simba mnayafanya,kama hampo tayari kushiriki haya mashindano bora mkae kimya msishiriki kama Yanga
Mnasajili kwa mbwembwe halafu mnaangukia pua,
Mnarudia yale yale makosa ya kutowapeleka kikosi fully kilichosajiliwa kucheza Sport Pesa,mkapeleka kikosi cha ajabu ,tukaangukia pua
Tena Cecafa mnarudia yale yale,mashabiki tunaumia na upumbavu mnaoufanya lakini hamjui tu tunavyoumia,bora msiwe mnashiriki hayo mashindano
Taabu sana watapata mikia FC.Washabiki wa Simba ni wajinga sana timu ya Simba imezidiwa uwezo uwanjani...imefungwa na Azam , sasa viongozi wafanyeje,?....Okwi.Boko wlikuwepo siku Simba inafungwa na Kagera Sugar na hawakufanya chochote...Hata kwenye Kagame wangekuwepo bado Simba wangefungwa tu hata kwenye fainali wasinhefika...hakuna timu isiyofungwa