Offshore Seamen JF-Expert Member Joined Mar 9, 2018 Posts 5,489 Reaction score 14,091 Apr 16, 2023 #1 Tunauza engine used za boti aina ya Mercury Outboard 2-Stroke zenye 40horse power. Engine hizi zina 697cc ni inline 3 cylinder, zinatumia petrol na 2 stroke oil ,uwashaji wake ni wa kuvuta kick na usukani ni wa mkono. Engine zimekaguliwa na kutestiwa baada ya kufika Zanzibar, Engine zinapatikana Zanzibar Mtoni bei ni shillingi 2.5million. Kwa walio mikoani utatumiwa kwa gharama zetu mpaka ulipo. Contact: 0655361223
Tunauza engine used za boti aina ya Mercury Outboard 2-Stroke zenye 40horse power. Engine hizi zina 697cc ni inline 3 cylinder, zinatumia petrol na 2 stroke oil ,uwashaji wake ni wa kuvuta kick na usukani ni wa mkono. Engine zimekaguliwa na kutestiwa baada ya kufika Zanzibar, Engine zinapatikana Zanzibar Mtoni bei ni shillingi 2.5million. Kwa walio mikoani utatumiwa kwa gharama zetu mpaka ulipo. Contact: 0655361223
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Apr 16, 2023 #2 Ahsante kwa taarifa...
KANYEGELO JF-Expert Member Joined Nov 12, 2019 Posts 2,238 Reaction score 4,885 Apr 18, 2023 #3 Tafuteni branch bara mtu anafanya booking mzigo ukifika analipia anachukua biashara za Zanzibar nani asiyezijua zilivyopasua kichwa
Tafuteni branch bara mtu anafanya booking mzigo ukifika analipia anachukua biashara za Zanzibar nani asiyezijua zilivyopasua kichwa
Offshore Seamen JF-Expert Member Joined Mar 9, 2018 Posts 5,489 Reaction score 14,091 Apr 18, 2023 Thread starter #4 KANYEGELO said: Tafuteni branch bara mtu anafanya booking mzigo ukifika analipia anachukua biashara za Zanzibar nani asiyezijua zilivyopasua kichwa Click to expand... Mzigo umeletwa Dar mkuu, itabidi niweke post nyingine
KANYEGELO said: Tafuteni branch bara mtu anafanya booking mzigo ukifika analipia anachukua biashara za Zanzibar nani asiyezijua zilivyopasua kichwa Click to expand... Mzigo umeletwa Dar mkuu, itabidi niweke post nyingine
KANYEGELO JF-Expert Member Joined Nov 12, 2019 Posts 2,238 Reaction score 4,885 Apr 18, 2023 #5 Offshore Seamen said: Mzigo umeletwa Dar mkuu, itabidi niweke post nyingine Click to expand... Itapendeza zaidi maana Bei ni affordable sana
Offshore Seamen said: Mzigo umeletwa Dar mkuu, itabidi niweke post nyingine Click to expand... Itapendeza zaidi maana Bei ni affordable sana
Offshore Seamen JF-Expert Member Joined Mar 9, 2018 Posts 5,489 Reaction score 14,091 Apr 18, 2023 Thread starter #6 KANYEGELO said: Itapendeza zaidi maana Bei ni affordable sana Click to expand... Ndio, kwa wanaozijua hawajiulizi kununua.
KANYEGELO said: Itapendeza zaidi maana Bei ni affordable sana Click to expand... Ndio, kwa wanaozijua hawajiulizi kununua.