Car4Sale Tunauza Magari aina mbalimbali

Kama pia una gari yako unayouza, kama unahitaji pesa ya chap nichek 0713415537
 
Hata 11M usije nimekataa jana
 
Hata 11M usije nimekataa jana
Hizi kazi za kufanya kwa sababu ya kukosa mbadala shida sana.
Unamjibu kama mmegombana. Ulichotakiwa ni kumshawishi na kumuonyesha gari ambazo unazo kwa fedha aliyokuwa nayo.
Sijasomea biashara na masoko ila utashi wangu umeona hivyo.
 
Hizi kazi za kufanya kwa sababu ya kukosa mbadala shida sana.
Unamjibu kama mmegombana. Ulichotakiwa ni kumshawishi na kumuonyesha gari ambazo unazo kwa fedha aliyokuwa nayo.
Sijasomea biashara na masoko ila utashi wangu umeona hivyo.

Hapo azunguke kwa alieilenga biashara inaisha juu kwa juu, unaandaa watu tofauti wanne kila mmoja anapiga simu kivyake wanaiharass wanaenda kuikagua kwa muda tofauti lengo sio biashara kujua mmiliki, baadae kama kawaida inapiga namba kwa mwenye gari kama imetoka mkoani namba mpya, sura ngeni unaenda unamaliza biashara wanakalia oohhh jamaa waliokagua kumbe ni wewe mwenyewe umetumia umafia tu,
 
Reactions: BRN
Kama kuna gari yako unauza nichek kwa 0684448888
 
Kama kuna gari yako unauza nichek kwa 0684448888
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…